NA shukuru ngongoje WA TOP RADIO MOROGORO
kocha mkuu wa timu ya taifa ya zambia, heave renald amesema kuwa anaamini mechi yake dhidi ya uganda hapo jumamosi atafanya vizuri,japokuwa timu ya uganda si yakubeza.zambia ndo bigwa africa mwaka huu,mechi hiyo itakayo pigwa jumamosi na kurudiwa 13/10/2012.
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini
Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biasharawa NMB- Bw. Filbert Mponzi(katikati) akizungumza kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mbeya....
Read more