ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 18, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

CHEKI TASWIRA ZA VIMWANA WANAOWANIA TAJI LA REDDS MISS TANZANIA 2012 NOVEMBA 3, UBUNGO PLAZA

admin by admin
November 1, 2012
in Uncategorized
Reading Time: 13 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Anaitwa VIRGINIA MOKIRI  ni mshiriki namba 1. Akitokea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na akiwakilisha Elimu ya Juu.
 Anakwenda kwa jina la   EUGENE FABIAN Mbio za kulisaka taji la Miss Tanzania amezianzia Mkoani Mara na baade kutwaa taji la Kanda ya Ziwa na anavalia namba 21 kambi ya taifa.
 
BABYLOVE KALALA ni Mshiriki na 9 akitokea mkoa wa Kagera, akiwakilisha Kanda ya Ziwa.
 
BRIGITTE ALFRED ni Mshiriki namba 26 akitokea Kitongoji cha Sinza na anawakilisha Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
ANANDE RAPHAEL ni mshiriki namba 11 akitokea Mkoa wa Kilimanjaro akiwakilisha Kanda ya Kaskazini.
 
CAREN  ELIAS mshiriki 23 anatokea Mbeya anawakilisha Nyanda za Juu Kusini
 
CATHERINE MASUMBIGANA ni mshiriki na 15 akitokea Kitongoji cha Chang’ombe anawakilisha kanda uya Temeke jijini Dar es Salaam.
 
DIANA HUSSEIN amepata namba ya ushirtiki 20, akitokea kitongoji cha Dar Indian Ocean, akiiwakilisha Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
  
FINA REVOCATUS anavaa namba 12 akitoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM, akiwakilisha Kanda ya Vyuo Vya Elimu ya Juu.
BELINDA MBOGO  ni mshiriki na 29 akitoka mkoa wa Dodoma akiwaklilisha Kanda ya Kati
 
EDDA SYLVESTER amepata namba 22, akitoka Kigamboni na anaiwakilisha Kanda ya Temeke jijini Dar es Salaam.
 
ELIZABETH DIAMOND anavalia namba 2 akitokea mkoa wa singida, akiwakilisha kanda ya Kati.
 
FATMA RAMADHANI nambari yake 25 akitoka chuo cha Uandishi wa habari Arusha ASJ, anawakilisha Kanda ya Elimu ya Juu.
FLAVIAN MAEDA anavalia namba 10 akitokea kitongoji cha Kurasini mwakilishi wa kanda ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Kutoka Kahama- Shinyanga ni HAPPINESS RWEYEMAMU ananamba 8 anawakilisha Kanda ya Ziwa.
Huyu ni HAPPYNESS DANIEL namba yake ya ushiriki ni 19 anatokea jiji la Mwanza akiwakilisha Kanda ya Ziwa.
IRINE VEDA anatokea Lindi na kupata namba 16 akiuwakilisha Kanda ya Mashariki
JESCA HAULE ni mshiriki namba 14, akitoka kitongoji cha Chang’ombe anawakilisha Kanda ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Anatoka Mji kasoro Bahari-Morogoro ni JOYCE BALUHI akiwa ni mshiriki 13 anawakilisha Kanda ya Mashariki.
  KUDRA LUPATOni mshiriki 24 akitokea kitongoji cha Dar Indian Ocean, akiiwakilisha Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Huyu ni LIGHTNESS MICHAEL anavalia 5, akitokea Dodoma akiwakilisha Kanda ya Kati.
Kutoka mkoa wa Manyara ni LUCY STEPHANO mshiriki namba 4 akiwakilisha Kanda ya Kaskazini.
MAGDALENA ROY mshiriki namba 6, kutoka Kitongoji cha Dar City Centre akiwakilisha Kanda ya Ilala.
Anaitwa Mary Chizi akitokea kitongoji cha Ukonga, anavalia namba 17, akiwakilisha Kanda ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Yeye ni MAGDALENA ROY mshiriki nambari 18, kutyoka mkoa wa Iringa akiwakilisha Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Jinalake ni NOELA MICHAEL yupo na namba 27, anashikilia taji la kitongoji cha Tabata na ni mwakilishi tegemeo wa Kanda ya Ilala.
Rose Lucas ana namba 28 akitokea Mkoa wa Pwani akiwakilisha Kanda ya Mashariki
VENCY EDWARD  ni mshiriki nambari 7, akitoka Mkoa wa Rukwa akiwakilisha Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
WARID FRANK huyu ni mshiriki namba 30 akitokea Arusha ana kuiwakilisha  Kanda ya Kaskazini.
Anaitwa ZUWENA NASIB akiwa ni mwakilishi pekee wa chuo Kikuu Huria OUT.
Endelea kutembelea Father Kidevu Blog na ukurasa wa www.facebook.com/ReddsMissTanzania2012
ADVERTISEMENT
Previous Post

JACK WOLPER ATWAA TAJI LA IJUMAA SEXIEST GIRL

Next Post

ZULIA JEKUNDU LA REDDS MISS TANZANIA 2012

admin

admin

RelatedPosts

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA NMB KUWAJALI MACHINGA
Uncategorized

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA NMB KUWAJALI MACHINGA

by admin
August 15, 2022
0

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza benki ya NMB kwa kutenga...

Read more
Hii ndio dawa ya wezi wa magari 

Hii ndio dawa ya wezi wa magari 

August 14, 2022
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

August 10, 2022
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Load More
Next Post

ZULIA JEKUNDU LA REDDS MISS TANZANIA 2012

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI  TAMASHA LA AZAMKA 2022

AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI TAMASHA LA AZAMKA 2022

August 16, 2022
Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

August 17, 2022
Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

August 17, 2022
Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

August 18, 2022
Vodacom Tanzania yawajengea uwezo wa Tehama Wanafunzi wa kike jijini Dodoma

Vodacom Tanzania yawajengea uwezo wa Tehama Wanafunzi wa kike jijini Dodoma

August 18, 2022
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

August 18, 2022
Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

August 18, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In