Yanga SC imeichabanga JKT Ruvu mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Vodacom iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar na kufikisha pointi 25. Wafungaji wa mabao ya Yanga: Mrisho Ngassa dakika ya 3 na 12, Oscar Joshua dakika ya 47 na Jerryson Tegete dakika ya 89.
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia...
Read more