
BAO pekee la Aaron Ramsey dakika ya 62, limeipa Arsenal ushindi wa 1-0 ugenini dhidi ya wenyeji Borussia Dortmund nchini Ujerumani.
Hilo linakuwa bao la 13 kwa mchezaji huyo msimu huu na bao la tano katika michuano ya Ulaya msimu huu. Pamoja na kufungwa, wenyeji ndio waliocheza vyema usiku huu na kabla ya Arsenal kupata bao lake, hawakuweza kutengeneza nafasi hata moja ya kufunga.
Borussia ambayo inapewa sifa ya moja ya timu bora kabisa Ulaya kwa sasa, iliingia kwenye mechi hiyo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa 6-1 dhidi ya Stuttgart katika ligi ya kwao, Bundesliga, lakini ilikalishwa na mtutu mmoja wa bunduki.
Dortmund; Weidenfeller 6, Grosskreutz 7, Papastathopoulos 6, Subotic 7, Schmelzer 6, Sahin 5, Bender 5 (Hofmann 75, 5), Blaszczykowski 6 (Aubameyang 74, 5), Mkhitaryan 6, Reus 6 (Schieber 86), Lewandowski 6.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Ramsey, Arteta, Cazorla/Monreal dk75, Ozil, Rosicky/Vermaelen dk91 na Giroud/Bendtner dk90.

Barcelona: Valdes; Dani Alves, Pique, Mascherano, Adriano; Xavi/Song dk88, Busquets, Iniesta/Fabregas dk78, Alexis, Messi na Neymar/Pedro dk85)
AC Milan: Abbiati; Abate, Zapata, Mexes, Emanuelson; Muntari, Montolivo, De Jong, Poli/Birsa dk74′, Kaka/Matri dk84, Robinho/Balotelli dk46.

Chelsea: Cech, Ivanovic, Azpilicueta, Mikel, Cahill, Terry, Willian, Ramires, Eto’o/Ba dk77, Oscar/Lampard dk81 na Schürrle/De Bruyne dk78.
Schalke: Hildebrand, Uchida, Aogo, Neustädter, Höwedes, Matip, Draxler/Clemens dk62, Jones, Szalai, Boateng/Kolasinac dk77 na Fuchs/Meyer dk67.
Chanzo:bongostaz.blogspot.com