ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

ALIYEKUWA KOCHA WA AZAM APATA SHAVU SUNDERLAND

admin by admin
November 15, 2013
in Uncategorized
Reading Time: 3 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 Stewart Hall
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa timu ya Azam FC, Stewart Hall amepata ulaji mpya baada ya jana kujiunga na Klabu ya Sunderland AFC ya Uingereza akiwa Meneja wa ‘Kidongo Chekundu Sports Park’ pamoja na Kituo cha Michezo cha Elite Sports Academy vinavyojengwa Dar es Salaam.

Vituo vyote hivyo viwili vitakuwa chini ya Kampuni ya kufua umeme ya Symbion Power inayoshirikiana na klabu hiyo ya Ligi Kuu ya England, katika masuala mbalimbali ya ukuzaji wa vipaji vya michezo ambapo moja ya mikakati yake ni kujenga vituo mbalimbali vya michezo nchini kikiwamo cha Kidongo Chekundu.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Dar es Salaam na Kitengo cha Mahusiano ya Umma cha Symbion Power, ikimnukuu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Symbion Tanzania, Peter Gathercole, ilisema Hall ambaye ni Mwingereza amesaini mkataba na kampuni hiyo bila kueleza ni wa muda gani.

“Stewart Hall, kocha wa soka Mwingereza, atajiunga na Symbion Power, kampuni kubwa ya kuzalisha umeme nchini, Sunderland AFC kutoka Uingereza, na Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, kama Meneja wa Kidongo Chekundu Sports Park pamoja na Elite Football Academy katika Jiji la Dar es Salaam,” ilisema taarifa ya Ofisa Mtendaji Mkuu huyo wa Sympion Power Tanzania.

Aidha, ilimnukuu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sunderland AFC, Margaret Byrne akisema: “Tumefurahishwa kuona mradi wa kituo cha michezo unaokwenda kwa kasi. Uteuzi wa Stewart ni maendeleo ya kusisimua na tunajiandaa kuona juhudi kubwa kwa kila moja anayehusika ili kuleta matunda katika siku za usoni.”

Akizungumza jana Dar es Salaam, Hall alisema: “Mradi huu utaboresha haraka ubora wa wachezaji chipukizi katika ngazi ya klabu na timu za Taifa. Chipukizi watafundishwa masuala ya kiufundi, mbinu, kimwili na mahitaji ya kiakili katika soka ya kisasa. “Kutakuwa na programu iliyo sheheni ya ukocha. Nimefurahishwa kuhusu fursa ambazo zitaletwa kwa ajili ya Watanzania. Wachezaji bora watapewa fursa ya kunolewa katika Kituo cha Michezo cha Sunderland Academy of Light nchini Uingereza.”

Hall mwenye leseni ya ukocha ya Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) na kuwa Mkufunzi wa shirikisho hilo, alikuwa Kocha Mkuu wa Azam FC hadi kumalizika kwa mzunguko wa Ligi Kuu ya Bara, Novemba 7, mwaka huu walipoachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pamoja.

Amewahi kuifundisha timu ya soka ya Taifa ya Zanzibar, na pia ni aliwahi kuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Soka cha timu ya Birmingham City ya Uingereza.

Pia amewahi kufundisha soka akiwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Saint Vincent na Grenadines pamoja na Pune FC ya India na Sofapaka ya Kenya.

Baada ya kuachana na Azam FC, minong’ono ilienea katika duru za soka nchini kwamba anakwenda katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa Mkurugenzi wa Ufundi, jambo linalothibitika kuwa si kweli.

Kwa upande wake, Ofisa Mtendaji wa Sympion Power Tanzania, Gathercole alisema mradi wa Kidongo Chekundu Sports Park, utakuwa wazi kwa watu wote ambao watakuwa wanacheza soka katika uwanja wenye nyasi bandia usiku pamoja na viwanja vidogo vitano, vya umri maalumu.

Kituo hicho kitakuwa na vyumba vya kubadilishia nguo, chumba cha madaktari chenye vifaa vya kisasa na mgahawa. Gathercole alisema ujenzi wake utaanza mwezi huu.

Hivi karibuni, Serikali kupitia kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ilitangaza kujengwa kwa kituo hicho, hatua iliyotokana na matunda ya ziara ya Rais Jakaya Kikwete na ujumbe wake katika kituo cha soka cha Sunderland, England, Juni mwaka huu.

ADVERTISEMENT
Previous Post

Chipukizi watawala Taifa Stars

Next Post

From The State House:President Jakaya Kikwete Meets His Royal Highness the Prince of Wales Prince Charles in Colombo, Sri Lanka

admin

admin

RelatedPosts

NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR
Uncategorized

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

by iamkrantz
February 9, 2023
0

  Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi - Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

January 31, 2023
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

January 25, 2023
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
Load More
Next Post

From The State House:President Jakaya Kikwete Meets His Royal Highness the Prince of Wales Prince Charles in Colombo, Sri Lanka

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In