
Kampuni ya hiyo (Arab Company for Projects and Urban Development) ilifungua mashtaka dhidi ya Zidan, mapema mwaka huu.
Mwanasoka huyo, 31, amekuwa nje ya dimba tangu alipoondoka katika klabu ya Baniyas iliyopo huko UAE mwezi January mwaka huu. Zidan ambaye kwa sasa anafanya kazi ya uchambuzi katika TV ya Al-Jazeera Sports kama mchambuzi, ingawa bado hajatangaza kustaafu kabisa soka.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Dortmund na Werde Bremen hakuwepo mahakamani wakati hukumu hiyo ikitolewa.
kwa hisani ya Shaffihdauda