Na Mayasa Mrisho
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuondokewa na Adam Kuambana ni pigo kubwa kwa tasnia ya filamu lakini zaidi pengo lake linajidhihirisha katika eneo la madairekta.

Akizungumza na paparazi wetu, Steve alisema katika tasnia ya filamu nchini, madairekta wazuri ni wachache sana hivyo Kuambiana alikuwa kama tegemeo la wengi na kifo chake ni pigo sana eneo hilo.

GPL