Waswahili huwa wanasema, “lisemwalo lipo” katika uhusiano wa masupastaa ambao watu wengi huutolea mfano kama moja ya mapenzi makini ulimwenguni ni kati ya Jay Z na Beyonce.
Lakini kuna tetesi kuwa Beyonce anachepuka na bodyguard wake aitwae Julius De Boer.
Chanzo cha habari kinadai kuwa Jay Z amekuwa akimpinga sana bodyguard huyo na kutaka afukuzwe lakini Beyonce amekuwa akimtetea Julias ambaye amekuwa baunsa wake tangu mwaka 2009. Kisa hiki pia kinahusishwa na ugomvi kati ya J Z na Solange.
Equity Bank, ZEEA, na SMIDA wasaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kutoa Mikopo Nafuu Tanzania
Mkurugenzi wa ZEEA Mh. Juma Burhani,mkurugenzi wa SMIDA Mh. Soud Said Ali na mkurugenzi mtendaji wa Equity bank (T)...
Read more