Chris Brown ni moja ya wasanii ambao mahusiano yao ya kimapenzi yamekaa sana kwenye vyombo vya habari tangu alipoanza mahusiano na mwanadada Rihana. Sasa hivi Chris Brown amechetuka katika penzi la Karueche, mwanadada ambaye anamkubali Brown hata kabla hajakutana na Rihana. Siku za karibuni mkali wa New Flames alitumia ukurasa wa Instagram kuonesha hisia zake kwa Karueche baada ya kuandika maneno yafuatayo ““need to have this baby and stop playing.”–nahitaji kuwa na huyu mpenzi na kuacha kuchepuka.
Wimbo wake mpya ambao unakwenda kwa jina la X inasemekana amemuimbia mrembo huyo. Usikilize hapa
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia...
Read more