Sherehe ya kutimiza kwake miaka 16 ilifanyika Atlanta Marekani ikiambatana na tamasha dogo ambalo Nicki Minaj aliimba “Moment 4 Life” na “Flawless (Remix) kwenye stage na kushuhudiwa na baadhi ya mastaa akiwemo T.I, Tiny, Kandi Burruss, Fantasia na Jacob Latimore.
NMB Bonge la Mpango – ‘Moto Uleule’ yazinduliwa, wateja kuzoa Mil. 180/-
Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Mhe. Paul Chacha pamoja na Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya...
Read more