ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Celeb News: Mashabiki Wafunguka Nani Mkali Kati Ya Wema na Zari !

admin by admin
January 6, 2015
in Uncategorized
Reading Time: 9 mins read
A A
0
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ akipozi.
Kumekuwa na maneno mengi juu ya nani mzuri kati ya staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ na Wema Isaac Sepetu ‘Madam’. Wema ametembea na Diamond na sasa Zari anadaiwa kuchukua uskani. Ijumaa Wikienda limechukua jukumu la kumaliza ubishi ambapo lilibandika swali hilo kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram, Facebook na Twitter. Maelfu ya mashabiki wao walipata nafasi ya kutoa ya moyoni. Majibu yaliyopatikana pima mwenyewe, ujiongeze.
Paul Kwere: Madam yupo juu.
Sulaiman Bongoland: Wote mama…(tusi).
Hafidh Abdul: Mkali mke wangu tu, tupilia mbali hao.
Saleh Hamis: Tafuta mtu wa kumfananisha na Wema Sepetunga ni kiumbe kingine.
Othumani Tabaki: Mmetoka kwa Diamond na Ali Kiba, sasa mmehamia kwa Wema na Zari.
Justine Myovela: Wema hana uzuri wowote ni feki kwa kila kitu hamfikii Zari ni natural na pia ana mtonyo wake hategemei kuhongwa. Zari ni kiboko ya mademu wote wa Bongo Movie.
Severini J. Shirima: Uzuri wa mtu ni tabia siyo sura.
Furaha Swillah: Nadhani hilo swali la Diamond.
Edward Charles: Ili umjue mchezaji f’lani ni mzuri, siyo umkute barabarani amevalia jezi na viatu. Mchezaji mzuri uwanjani bana.
Abdallah Jumaa Kivuma: Edward nimekulewa mzazi.
Suley Dide: Hakuna wa afadhali wote potelea mbali na mkumbuke wazuri wote wameshaolewa wapo kwa waume zao.
Staa wa Uganda, Zarinah Hassan ‘Zari’ au ‘The Boss Lady’ akipozi.
Jose Mrema: Mke wangu ndiye mzuri.
Bariki Kamendu: Duniani wote sisi ni wazuri, hakuna mbaya.
Abubakar Waissa: Uzuri wa gari ni injini.
Amina Abeidi: Yaani pale Zari ndiyo amezaa, niambie kipindi hana mtoto hata mmoja alikuwaje, acheni masihara bwana Zari jembe.
Zaitun Abbas Bhai: Acheni kumponda Wema. Huyu ni wetu wa nyumbani. Huyo Zari kajitengeneza hayuko natural. Wema ni natural hajafanya upasuaji wa mwili. Watu wanaomfahamu Zari wanatuambia anajitengeneza sana.
Shylina Mohamed: Zari mzuri, acheni majungu. Kwanza hapo ana watoto lakini kama hajazaa vile, sasa utamfananisha na Wema?
Asia Issa: Wema juu, Zari tupa kule.
Winfrida Armack: Uzuri anaujua Dangote (Diamond).
Zaituni Salimu: Mungu hakuumba mtu mbaya!
Baraka Baraka: Hakuna jipya.
Riam Mariy Riam: Wemaaa…juuu…
Tito Mwakipesile: Anajua Dangote..!
Jizzo Alphayo: Aliyeandika hii page ndiye mzuri.
Connor John: Zari balaaa…
Xavery Handsome Pig: Sidhani kama mnakosa vya kufanya.
Milka Paul: Wema kiboko.
Liz Mwakipesile: Mimi.
Jasmeen Johnson Lyazar: Mimi.
Consolatha Sengo: Wote.
‘Zari’, ‘The Boss Lady’ akiwa na ‘Diamond Platnumz’.
Jemmy Ndishna: Mzuri mimi.
Twalib Omar: Dah Zari mambo mbaya.
Sarah Erasto: Wema.
Andrew Kampambe: Diamond ndiye anajua.
Alphan Abubakary: Maswali ya Diamond msiwe mnatuuliza sisi.
Lina George: Zariii…
Nasma Abdul: Wema.
Victor G Uiso: Wote walewale tu.
Albert Moshi: Dah! Tatizo uzee umewadia, now wanatumia uzuri wa dukani. So wako sawa.
Revocatus Antoniy: Wema.
Kashaigiri Richard: Wote walewale tu.
Zainabu Ally: Wema ni shida.
Mamuu Omary: Uzuri wa tabia, sura au uzuri wa wapi?
Ramsey Murason: Uchochezi huo. Najipita tu.
Nasser Malota: Zari ni mzuri sana.
Alex Johanes: Zari a.k.a The Boss Lady ndiye mkali.
Nisamehe Vuli: Hakuna mzuri.
Msofe Kingston: Zari yaani kumpata pia ni zali.
Neshi Kitiri: Wema.
Nico Mtei: Sijaona.
Oliver Benson: Kila mmoja Mungu kamuumba alivyotaka.
Happy Mshama: Wema.
Mary Lyanda: Wema pini.
Bahati Nicholaus: Mh! Wote wako sawa tu.
Rosemary Digra: Zariii.
Abubakar Waissa: Sura siyo roho.
Abubakar Waissa: Mzuri pesa.
Hellen Elias: Wema.
Wema Isaac Sepetu akiwa na ‘Diamond Platnumz’.
Godson Juakali: Wote sawa tu!
Antilda Ndege: Wema is cute bana. Ukweli ndiyo huo.
Kims Kims: Sepetunga ni kwereee…..juu miaka 10,000,000.
Yaassin Ridhiwani Riziki II: Wekeni wazi uzuri wa namna gani maana hakuna binadamu mbaya!
Barak Sanga: Aulizwe Nasibu (Diamond) siyo sisi…
Sahamo Morgan: Ndiyo maana mkaambiwa lazima ujue kutofautisha kati ya + na msalaba au x na kuzidisha. Pia kuna tofauti kati ya 3×1 na 1×3.
Kelvin Steven Mmari: Tujivunie vya kwetu bana!
Baldie James: Chema hujiuza na kibovu hujitembeza… ila swali hilo muulize Diamond.
Haji Upete: Hayatuhusu.
Chagula Mihayo: Kamuulizeni aliyetembea nao…
Mariam Luoga: Wote sawa.
Aisha Kassim: Wema ni mzuri bwana.   Mnamsifia Zari wakati hamjawahi hata kumuona zaidi ya kwenye simu.
Theresia Ismail: Hakuna jipya.
Mwanaisha Ally: Wema ndiye mpango mzima.
Abdallah Jumaa Kivuma: Zari mashine weweee…
Micheal Sweya: Zari.
Mbarak Zaki: Kwanza huwezi kufananisha Zari na Wema.
Mathias Mathias: Zari.
Asia Issa: Wema mzuri.
Sijali Mihayo: Yote michepuko.
Asia Issa: Wema juuu sana miaka 100,000.
Aziza Bakari: Wemaaa.
Sarah Masegenya: Wema kifaa wanaosema Zari wanachachawa na ngozi.
Hamza Msonga: Zari ni habari nyingine.
Mario Robert: Zari mzuri, Wema tupa kule.
Amos Supila: Uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia.
Rahma Hassan: Mimi najikubali mwenyewe.
Sin Q Hassan: Madam yupo vizuri.
Odetter Sezary: Mzuri pesa tu.
Nehma Mudy: Madam ni mkali.
Nalfat Mohammed: Madam wa ukweli.
Mariam Mbughi: Wema.
Layd Smile: Madame.
ADVERTISEMENT
Previous Post

2014 Ulikuwa mwaka wa Taylor Swift.Yani katisha sana

Next Post

Picha: Za Jack Wolper Zawa Gumzo Mtandaoni Ambazo Akifanya Mazoezi!

admin

admin

RelatedPosts

NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR
Uncategorized

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

by iamkrantz
February 9, 2023
0

  Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi - Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

January 31, 2023
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

January 25, 2023
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
Load More
Next Post

Picha: Za Jack Wolper Zawa Gumzo Mtandaoni Ambazo Akifanya Mazoezi!

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In