Rapa wa Kundi la Weusi Lord Eyez ameeleza ujuo wa ngoma yake mpya amesema hayo alipo ongea na Clouds Fm amefanya kazi na mpenzi wake wa kitambo ambaye ni msanii wa bongo fleva Ray C.
Lord Eyez amethibitisha kuwa wimbo umepewa jina ‘Matatizo’ na umefanyika studio za Mandugu Digital na Producer Shaqee. Wimbo una stori kuhusu mambo tofauti tunayopitia kwenye maisha.
Equity Bank, ZEEA, na SMIDA wasaini Makubaliano ya Ushirikiano wa Kutoa Mikopo Nafuu Tanzania
Mkurugenzi wa ZEEA Mh. Juma Burhani,mkurugenzi wa SMIDA Mh. Soud Said Ali na mkurugenzi mtendaji wa Equity bank (T)...
Read more