Rapa wa Kundi la Weusi Lord Eyez ameeleza ujuo wa ngoma yake mpya amesema hayo alipo ongea na Clouds Fm amefanya kazi na mpenzi wake wa kitambo ambaye ni msanii wa bongo fleva Ray C.
Lord Eyez amethibitisha kuwa wimbo umepewa jina ‘Matatizo’ na umefanyika studio za Mandugu Digital na Producer Shaqee. Wimbo una stori kuhusu mambo tofauti tunayopitia kwenye maisha.
Tuliishi maisha ya shida sana kisa uchawi wa jirani!
Kwa hakika uchawi na mambo ya kishirikina huwa yamesimika mizizi katika sehemu nyingi za Afrika, jina langu ni Julius, nilililewa...
Read more