ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, July 2, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
Advertisement
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

    Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

    Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT
Home Uncategorized

Vijana kutoka Dar washuhudia Coke Studio ‘live’ Nairobi.

admin by admin
August 24, 2015
in Uncategorized
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
 Vijana kutoka Tanzania wakiawa katika picha ya pamoja na msanii kutoka Marekani Ne-Yo wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya. 
 Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Patricia Kajange wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya. 
Msanii wa bongo fleva Ali Kiba akiwa na msichana wa kitanzania Barbara Mawalla wakati wa onyesho la Coke Studio Afrika msimu wa tatu lililofanyika hivi karibuni jijini Nairobi, Kenya. 
*********
Kampuni ya Coca-Cola kwa mara nyingine tena kupitia kampeni yake ya ‘Sababu Bilioni za Kuamini’, wiki hii iliwapeleka vijana watano wa Kitanzania kwenda nchini Kenya kushudia onyesho la Coke Studio Africa msimu wa tatu ambapo, msanii maarufu duniani wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, Ne-Yo, alitumbuiza pamoja na wasanii wengine kutoka barai Afrika.
Wasanii kutoka Afrika ambao waliungana na Ne-Yo katika onyesho hilo wametoka katika mataifa matano. Wasanii hao ni Ali Kiba(Tanzania), Wangechi (Kenya), Maurice Kirya (Uganda), Ice Prince (Nigeria) na Dama Do Bling (Msumbiji).
Onesho hilo ambao lilikuwa na msisimko wa aina yake kutokana na uwepo wa Ne-Yo, si tu lilivuta hisia za mashabiki waliokuwa wakishuhudia studioni hapo bali pia mamilioni ya wapenda mziki barani Afrika hasa kutokana na ujio wa nguli huyo wa R&B ambaye mziki wake una mvuto wa aina yake.
Vijana hao ambao ni Patricia Kajange, Anderson Dickson, Annalisa Kiango, Barbara Mawalla pamoja na  Hilda Steven walionekana kuvutiwa na onyesho hilo na kumimina shukarni zao kwa Coca-Cola kwa kuwapa fursa hiyo ambayo ama hakika wamethibitisha kujifunza mengi kutokana na ziara hiyo.
“Yaani sijui hata niseme nini, maana leo ni kama siamini kumuona Ne-Yo ‘live’, nimepiga naye picha na kumuona akitumbuiza moja kwa moja jukwaani”, alisema Barbara Mawalla, miongoni mwa vijana watano waliokwenda kushuhudia onyesho hilo.
Kwa upande wake, Patricia Kajange alisema, “Nina furaha ambayo hata siwezi kuilezea hapa nilipo, nimefurahi sana kumuona Ne-Yo pamoja na wasanii wengine hawa kama Ali Kiba na Maurice Kirya, nimefurahi sana kwa kweli”.
Hilda pia hakuwa nyuma kuzungumzia furaha yake mara baada ya kupata fursa hiyo, “Yaani nilikuwa nimechoka kutokana na safari lakini baada ya kushudia hili onyesho na kumuona kwa mara ya kwanza Ne-Yo kwa macho yangu mwenyewe, na uchovu wote ukaisha, ni kumbukumbu kubwa sana kwangu”.
Anderson kwa upande wake alisema, “aisee furaha niliyonayo siwezi hata kuielezea kwa sababu ni kama ndoto zimetimia sasa, kumuona Ne-Yo live? sio jambo la mchezo, nawashukuru sana waliofanikisha suala hili”
Annalisa alisema, “nimefurahishwa sana na jinsi wasanii hawa walivyoimba kwa sauti yenye mpangilio na manjonjo ya aina yake, wakiongozwa na Ne-yo, hili ni jambo la kipekee sana kwangu, ni historia nyingine hii katika maisha yangu”.
Baada ya kumalizika kwa onyesho hilo pia vijana hao walipata nafasi ya kukutana na Ali Kiba na kuzungumza naye machache pamoja na kupiga picha ambapo, Ali Kiba aliwaambia amefarijika sana kuwaona vijana kutoka Tanzania maana walimfanya ajisikie yupo nyumbani.
“Nimefurahi sana kuwaona na nimefurahi pia kwa sapoti yenu, ninyi kama Watanzania wenzangu, ningependa kusema kuwa ni muhimu kujituma katika kile mnachokiamini ili mtimize malengo yenu kwa sababu juhudi ndio kila kitu, ndio maana tunasema lazima uwe na sababu bilioni za kuamini”.
Coke Studio Afrika ni onyesho linalofanyika kila kwaka likiwa na lengo la kuwakutanisha kwa pamoja wasanii  mbalimbali wa Afrika na kuimba nyimbo ambazo zina vionjo tofauti hivyo kuongeza msisimuko. Lakini vilevile kutoa fursa kwa wasanii wachanga  kushirikiana na wakubwa ili kuwapa changamoto ya kuongeza ujuzi katika kazi zao na kuzidi kukuza vipaji vyao.
Mwaka huu, onyesho hilo limeenda bega kwa bega na kampeni ya “Sababu Bilioni za Kuamini” ambayo inalenga kuwahimiza vijana wote kujiamini juu ya ndoto walizonazo na kupambana ili kutimiza ndoto hizo.
Katika msimu huu wa tatu wa Coke Studio Afrika, ni wasanii kutoka mataifa matano tu tu ndio wamechaguliwa  kutumbuiza. Mataifa hayo ni Nigeria, Msumbiji, Kenya, Uganda na Tanzania


ADVERTISEMENT
Previous Post

TUPO WAZIII

Next Post

Kauli ya ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM

admin

admin

RelatedPosts

CRDB, USAID Na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya, Biashara Ndogo Na Kati Pamoja Na Sekta Zisizo Rasmi Tanzania
Uncategorized

CRDB, USAID Na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya, Biashara Ndogo Na Kati Pamoja Na Sekta Zisizo Rasmi Tanzania

by admin
June 30, 2022
0

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) kwa pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright...

Read more
WANANCHI WATAKIWA KUFIKA BANDA LA AKIBA COMMERCIAL BANK KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA HUDUMA

WANANCHI WATAKIWA KUFIKA BANDA LA AKIBA COMMERCIAL BANK KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA HUDUMA

June 30, 2022
NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

June 30, 2022
Viongozi wa Zamani Obama na Merkel Kuonana Huko Washington

Viongozi wa Zamani Obama na Merkel Kuonana Huko Washington

June 30, 2022
Wasanii 3 wa Lebo ya WCB Wasafi Watinga Bungeni Dodoma

Wasanii 3 wa Lebo ya WCB Wasafi Watinga Bungeni Dodoma

June 29, 2022
Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

June 29, 2022
Load More
Next Post

Kauli ya ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

June 30, 2022
Mwanadada Atapeliwa “Iphone Kisa Nafasi ya Kazi”

Mwanadada Atapeliwa “Iphone Kisa Nafasi ya Kazi”

June 28, 2022
BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

June 30, 2022
Kajala ahaidi waziwazi kumpenda Harmonize daima

Kajala ahaidi waziwazi kumpenda Harmonize daima

June 27, 2022
MFAUME AMKALISHA ABDULMONEM SAID ROUND YA 2 TU

MFAUME AMKALISHA ABDULMONEM SAID ROUND YA 2 TU

July 1, 2022
Coastal Union, Yanga kutambiana Kuhusu Fainali ya ASFC

Coastal Union, Yanga kutambiana Kuhusu Fainali ya ASFC

July 1, 2022
SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

July 1, 2022
COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

June 30, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In