ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 18, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tigo sasa ya pili kwa ukubwa katika kampuni za simu Tanzania

iamkrantz by iamkrantz
April 15, 2016
in Uncategorized
Reading Time: 4 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez

Dar es Salaam, Aprili 14, 2016. Ushindani unazidi kupamba moto miongoni mwa kampuni za simu nchini ambapo katika kipindi cha miezi mitatu cha kati ya Oktoba na Desemba mwaka 2015, ni jumla ya watumiaji wapya 1,448,782 tu ambao walijisali kutumia huduma zao za mawasiliano.

Ushindani huu ambao umechochewa na kuingia kwa kampuni mpya katika sekta ya mawasiliano Tanzania, umefikisha jumla kuu ya watumiaji wa huduma ya mawasiliano nchini kufikia 39.8 milioni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni na Mamlaka ya Mawasilano Tanzania, (TCRA).

Kampuni ya MIC Tanzania Ltd- ijulikanayo kwa jina lingine kama Tigo – ilisajili juma ya wateja wapya 488,886 katika kipindi hicho cha miezi mitatu sawa na asilimia 34.
Idadi hii ya wateja wapya inaifanya Tigo kuwa na jumla ya wateja 11,115,991 na kuifanya kampuni hiyo kuwa katika nafasi ya pili kwa ukubwa imiliki asilimia 28 la soko la mawasiliano nchini na hivyo kuipita Airtel ambayo imekuwa katika nafasi hiyo kwa kipindi cha takriban muongo mmoja.

Airtel kwa upande mwingine ilisajili jumla ya wateja wapya wapatao 32, 839 katika kipindi hicho cha miezi mitatu na kufikisha jumla ya wateja wake kuwa  11,047, 505 ambayo ni sawa na asilimia 28 lakini kiwa imezidiwa na Tigo kwa idadi ya wateja 68,486.
Licha ya kuendelea kupungua kwa idadi ya wateja wake mwaka hadi mwaka, kwa mujibu wa takwimu za TCRA, Vodacom bado inaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wateja wapatao 12,714,297 sawa na asilimia 32 ya jumla ya watumiaji wote wa huduma za mawasiliano Tanzania. Idadi ya wateja wa Vodacom imeonekana kushuka kutoka asilimia 45 mwaka 2007 hadi asilimia 41 mwaka 2008 na kufikia asilimia 39 Desemba 2009.
Wadadisi wa sekta ya mawasiliano wanaelezea hali hii kushuka kwa idadi ya wateja wapya miongoni mwa kampuni hizi kuwa kunachangiwa na mabadiliko ya kimikakati ambapo msizitizo mkubwa miongoni mwa kampuni ni kuwalenga Zaidi wateja watumiaji wa huduma za Intaneti kupitia simu zao kama nyenzo kuu ya kukuza mapato tofauti na matumizi ya kuongea na kutuma sms kama ilivyokuwa siku za nyuma.

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez, kwa upande wake ameelezea kukua haraka kwa kampuni hiyo katika kipindi cha miaka miwili iliyopita na kusema kumechangiwa na sababu mbalimbali zikiwemo ubunifu mkubwa ambao unafanywa katika kendesha kampuni kibiashara.
“Mafanikio ya Tigo yameletwa na sababu nyingi kama vile kuwapa wateja wetu huduma bora na kwa bei nafuu, upatikanaji wa mtandao wetu nchi nzima, utumiaji wa teknolojia ya kisasa, ubunifu na kuwa karibu na wateja,” Gutierrez anasema.
Akifafanua Zaidi kuhusu ubunifu huo, Gutierrez ametaja baaadhi ya huduima na bidhaa zilioanzishwa na kampuni hivi karibuni kama vile kuwapa wateja uwezo wa kufanya miamala ya kibenki kupitia simu zao za mikononi, uwezo wa kutuma na kupokea fedha kutoka mitandao mingine ya mawasiliano, kutuma na kupokea fedha kimataifa na mgao wa faida utolewao kwa watumiaji wa huduma ya Tigo Pesa kila baada ya miezi mitatu.

 Aidha meneja huyo mkuu ametaja vichocheo vingine vya kukua hara kwa Tigo kuwa ni “kubuni huduma zinazolenga kuwapa wateja wetu fursa ya kuishi maisha ya kidijitali zikiwemo huduma kama vile upatikanaji wa Facebook kwa lugha ya Kiswahili, simu zenye menu ya Kiswahili, WhatsApp ya bure na zinginezo,” amesema.
Kampuni ya Tigo kwa mujibu wa Gutierrez inawekeza kiasi cha dola za kimarekani $ 120 milioni  kwa mwaka katika kuboresha mtandao wake na kupanua upatikanaji wa huduma zake nchini.

Ametoa mfano wa huduma ya 4G LTE ya Tigo ambayo kwa sasa inapatikana katika miji sita – Dar es Salaam, Arusha, Tanga, Dodoma, Morogoro, Moshi na Mwanza – na kuelezea kuwepo kwa mkakati wa kufikisha huduma hii katika mji mikubwa yote nchini ifikapo mwishoni mwa mwaka huu.

Kwa upande wake kampuni ya Zantel ambayo ni kampuni dada ya Tigo, zote kiwa zinamilikiwa na Millicom, ilirekodi wateja wapya 320, 483 katika kipindi cha miezi mitatu ya mwisho ta mwaka 2015 na kufikisha jumla ya wateja 1, 839, 391. Nayo kampuni mpya ya Haloteli ndiyo iliyoongoza kwa kuvuna wateja wengi kipindi hicho wapatao 793, 383 na hivyo kufikisha jumla kuu ya waetja wake kuwa 1,226,678 hadi kufikia mwisho wa Desemba 2015.

Ikiwa na wateja milioni 1.56 hadi kufikia mwishoni mwa Desemba 2015, Smart ilikuwa na asilimia nne (4) la soko la mawasiliano ya simu nchini sawa na Zantel wakati kampuni inayomilikiwa na serikali (TTCL) ikiwa inashikilia asilimia moja (1) ya soko hilo.

ADVERTISEMENT
Previous Post

Tigo sasa ya pili kwa ukubwa katika kampuni za simu Tanzania

Next Post

Jumuiya ya Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa Kutoka UGANDA Watembelea Kampuni ya Maxcom Africa – Maxmalipo

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA NMB KUWAJALI MACHINGA
Uncategorized

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA NMB KUWAJALI MACHINGA

by admin
August 15, 2022
0

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza benki ya NMB kwa kutenga...

Read more
Hii ndio dawa ya wezi wa magari 

Hii ndio dawa ya wezi wa magari 

August 14, 2022
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

August 10, 2022
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Load More
Next Post

Jumuiya ya Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa Kutoka UGANDA Watembelea Kampuni ya Maxcom Africa - Maxmalipo

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI  TAMASHA LA AZAMKA 2022

AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI TAMASHA LA AZAMKA 2022

August 16, 2022
Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

August 17, 2022
Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

August 17, 2022
Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

Wakurugenzi wa Halotel Wampongeza IGP Camilius Wambura Kuhudumu katika Nafasi yake mpya

August 18, 2022
Vodacom Tanzania yawajengea uwezo wa Tehama Wanafunzi wa kike jijini Dodoma

Vodacom Tanzania yawajengea uwezo wa Tehama Wanafunzi wa kike jijini Dodoma

August 18, 2022
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

August 18, 2022
Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

August 18, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In