ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, August 13, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

SBL yatoa elimu kuhusu unywaji pombe kistaarabu Mkoani Dodoma

admin by admin
November 14, 2016
in Uncategorized
Reading Time: 7 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
 Meneja wa SBL wa Uwajibikaji Katika Jamii, Hawa Ladha, akitoa semina  elekezi kuhusu kampeni unywaji kistaarabu kampeni ambayo imezinduliwa mapema leo katika Hotel ya Morena mkoani Dodoma 

Meneja wa mauzo wa SBL  mkoa wa Dodoma Adam Nelson akiteta jambo na Mwakilishi wa Mkuu wa Usalama wa Barabarani wa Mkoa wa Dodoma CP Steven Nchai katika mkutano uliokutanisha wadau mbali mbali katika mkoa wa Dodoma wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Unywaji kistaarabu uliofanyika katika Hoteli ya Morena mapema leo mkoani Dodoma
Wadau mbali mbali kutoka mkoa wa Dodoma wakifuatilia kwa makini mkutano huo wa uzinduzi wa kampeni ya Unywaji kistarabu uliofanyika mapema leo Morena Hoteli Mkoani Dodoma.

Mwakilishi wa Mkuu wa Usalama wa Barabarani wa Mkoa wa Dodoma CP Steven Nchai akitoa hotuba   katika mkutano uliokutanisha wadau mbali mbali katika mkoa wa Dodoma wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Unywaji kistaarabu uliofanyika katika Hoteli ya Morena mapema leo mkoani Dodoma
 Meneja wa SBL wa Uwajibikaji Katika Jamii, Hawa Ladha akitoa maelezo kwa waandishi wa habari mara baada ya    uzinduzi wa kampeni ya Unywaji kistaarabu  katika mkutano uliokutanisha wadau mbali mbali kutoka mkoa wa Dodoma wakati wauliofanyika katika Hoteli ya Morena mapema leo mkoani Dodoma  

Picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya unywaji kistaarabu


Meneja wa SBL wa Uwajibikaji Katika Jamii, Hawa Ladha Akisaidiana na Mwakilishi wa Mkuu wa Usalama wa Barabarani wa Mkoa wa Dodoma CP Steven Nchai na Meneja wa mauzo wa SBL mkoa wa  Dodoma Adam Nelson kuvisha kava la gari lenye ujumbe unaoendana na kampeni ya unywaji kistaarau iliyozinduliwa mapema leo Morena Hoteli Mkoani Dodoma.

Mwakilishi wa Mkuu wa Usalama wa Barabarani wa Mkoa wa Dodoma CP Steven Nchai akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa kampeni ya Unywaji kistaarabu iliyozinudliwa na SBl mapema leo katika Mkoa wa  Dodoma.
 Dodoma , Novemba 9 , 2016. Kampuni ya bia ya Serengeti imezindua kampeni inayohamasisha matumizi sahihi ya pombe au unywaji pombe kistaarabu. Kampeni hii ni hatua muhimu katika sekta ya biashara ya pombe kwa kutambua changamoto inazokabiliana nazo hususan katika masuala ya uwajibikaji kwa jamii.  
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo Mwakilishi wa Mkuu wa Usalama wa Barabarani wa Mkoa wa Dodoma CP Steven Nchai, amesema kulishirikisha jeshi la polisi, kikosi cha usalama barabarani, kunaonyesha ni kwa jinsi gani SBL wanatilia maanani suala zima la usalama barabarani hasa matokeo ya ulevi na uendeshaji vyombo vya moto. Uzoefu unaonyesha kwamba watu wengi hujisahau na kujiingiza katika ulevi wa kupindukia  bila kuzingati vyombo vya moto wanavyoendesha.
“Ni jambo lilisilopingika kuwa uzembe na unywaji wa pombe kupita kiasi vina athari kubwa kwa jamii. Madhara hayo hayamuathiri mtumiaji wa pombe peke yake, bali uhatarisha maisha na kuathiri mustakabali wa watu wengi” aliongeza Nchai.
“Kwa matinki hiyo, ni janga la jamii nzima – huduma zetu za afya zimeelemewa kwa kiasi kikubwa na wale waliojeruhiwa katika masuala yanayohusiana na ajali na uhalifu; taasisi zetu za masuala ya sheria zimeelemewa vilivyo; uzalishaji unaathirika mno na kwa mlolongo huo, ukuaji wa pato la taifa hubakia kuwa wa kiwango cha chini”, alisema Nchai.
Akielezea jinsi kampeni hii itakavyosaidia CP Nchai anasema “ama kwa hakika, sote kwa ujumla wetu tunaathirika – na sote tunalo jukumu la kuchangia namna bora ya kukabiliana na tatizo la ulevi. Nafurahi kuona kwamba wazalishaji wenyewe wa vinywaji vya pombe wametambua kuwa biashara wanayofanya kwa wateja wao inahitaji uwajibikaji na umakini wakati wa kutumia”.  
Kampeni hii ya unywaji wa kistaarabu inakusudia kuwafikia vijana wengi pamoja na watu wa rika la juu kwa kuwataka kuelewa hatari ya matumizi ya pombe na kufanya maamuzi kwa faida zao – maamuzi ambayo yatanusuru mustakabali wao wa baadaye.
Naye Meneja wa SBL wa Uwajibikaji Katika Jamii, Hawa Ladha, amesema kampeni ya unywaji pombe kistaarabu inalenga kuwapa walengwa elimu kwamba mtumiaji wa pombe hahitaji kutawaliwa na pombe na kuipa nafasi ibadili mustakabali wa maisha wake na kuongeza kwamba vifo na ajali nyingi hutokana na uzembe au ulevi wa watu ambao si waathirika wakubwa wa pombe – ambao wangeweza kuwa waangalifu kama wangechukua tahadhari na kujifikiria marambili au kama marafiki zao wasingewahamasisha ku-“ongeza moja …au mbili”, alisema.
ADVERTISEMENT
Previous Post

SBL YAZINDUA KAMPENI YA UNYWAJI KISTAARABU MKOANI ARUSHA

Next Post

Awamu pili shindano la SBL kutafuta DJ mbobezi kuchanganya muziki yaanza

admin

admin

RelatedPosts

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini
BUSINESS NEWS

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

by admin
August 10, 2022
0

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biasharawa NMB- Bw. Filbert Mponzi(katikati) akizungumza kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mbeya....

Read more
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

August 7, 2022
Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

August 5, 2022
Load More
Next Post

Awamu pili shindano la SBL kutafuta DJ mbobezi kuchanganya muziki yaanza

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
AIRTEL YAIBUKA NAFASI YA PILI TUZO ZA HUDUMA BORA

AIRTEL YAIBUKA NAFASI YA PILI TUZO ZA HUDUMA BORA

August 9, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

August 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

August 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

August 12, 2022
Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

August 12, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In