ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 11, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

SBL YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ NDANI YA MIKOA MITANO.

admin by admin
October 17, 2017
in Uncategorized
Reading Time: 23 mins read
A A
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
 Meneja wa bidhaa wa SBL Ester Raphael  akizungumza na vyombo vya habari kabla ya kuanza uzinduzi wa msimu wa pili wa kampeni ya ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ Ambayo ilizinduliwa mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco Jijini Dar es salaam na kuwakutanisha Madj 30 ambapo wanatafutwa Madj 10 kuingia Fainali.

Mmoja wa washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’  Akiwa katika mashine kuonesha ujuzi wake huku jaji mkuu DJ PQ akimsikiliza kwa makini mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco.



Washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ Wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya uzinduzi wa kampeni hiyo inayoendeshwa katika mikoa mitano huku wakitafuta washindi watatu watakaoibuka na zawadi kutoka SBL

Mmoja wa washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ akiwa katika mashine kuonesha ufundi wake katika hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco Jijni Dar es salaam.
Baadhi ya mashabiki waliokuja kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ wakifuatilia kwa makini washiriki wakionesha uwezo wao katika kuchanganya mziki mapema mwishoni wa  wiki iliyopita katika fukwe za Coco Beach .

Mshiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’ akionesha umahiri wake katika kutumia mashine mapema mwishoni wa wiki  ikiyopita katika fukwe za Coco.

Dar es Salaam, Oktoba 14 2017-Kampuni  ya bia ya Serengeti (SBL) leo  imezindua upya  msimu wa pili wa ‘’Smirnoff ice black’’ (SIB) Dj search . Kampeni  hii  ya miezi mitatu itakayolenga kusaka Dj bora na kuleta karibu kinywaji hicho kwa watumiaji  wake nchi nzima.
Akiongea katika uzinduzi huo maeneo ya Coco Beach Dar es salaam Meneja wa bidhaa wa SBL Ester Raphael amesema mashindano haya yana dhumuni la kuhamasisha na kuvutia watumiaji wapya wa kinywaji hicho huku wakishindanisha maDJ nchi nzima na kupata vinara watatu ambao watapa ta zawadi nono.
Lengo jingine la uzinduzi huu alifafanua  Ester ‘’Ni kuongeza ufahamu wa kinywaji hicho kwa watumiaji wake kwamba ni kinywaji ambacho kipo tayari kwa kunywa na kuhamasisha kuwa ina ladha ya kipekee ya limao.
 “Tunaamini kwa kupitia shindano hili , SBL itatoa msisimko kwa wateja wake na muziki mzuri na nafasi ya kipekee kuonyesha uwezo wa MaDj wanaochipukia’’. Ester ametaja mikoa ambayo shindano hilo litafanyika, mikoa hiyo ni pamoja na Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Morogoro, and Mwanza kila mkoa kutoa maDj 10 na jumla kuwa maDJ 50, mwishoni watapambanishwa na kupata washindi watatu ambao watapokea zawadi kutoka SBL.
“Kutakuwa na zawadi kwa washindi wetu”, alifafanua na kusema zawadi hizo zitajumuisha DJ kits, laptops na controllers kwa washindi watatu watakaofika finali hizo.
Ester alimalizia kwa kusema “Tunapenda kuchukua nafasi hii kuwaalika maDj wote na wapenzi wa muziki kujumuika nasi katika shindano hili ili kusherekea kwa pamoja na kinywaji chetu cha Smirnoff Ice Black’’

 Meneja wa bidhaa wa SBL Ester Raphael  akizungumza na vyombo vya habari kabla ya kuanza uzinduzi wa msimu wa pili wa kampeni ya ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ Ambayo ilizinduliwa mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco Jijini Dar es salaam na kuwakutanisha Madj 30 ambapo wanatafutwa Madj 10 kuingia Fainali.

Mmoja wa washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’  Akiwa katika mashine kuonesha ujuzi wake huku jaji mkuu DJ PQ akimsikiliza kwa makini mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco.



Washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ Wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya uzinduzi wa kampeni hiyo inayoendeshwa katika mikoa mitano huku wakitafuta washindi watatu watakaoibuka na zawadi kutoka SBL

Mmoja wa washiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ akiwa katika mashine kuonesha ufundi wake katika hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo mapema mwishoni wa wiki iliyopita katika fukwe za Coco Jijni Dar es salaam.
Baadhi ya mashabiki waliokuja kushuhudia uzinduzi wa kampeni ya ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’’ wakifuatilia kwa makini washiriki wakionesha uwezo wao katika kuchanganya mziki mapema mwishoni wa  wiki iliyopita katika fukwe za Coco Beach .

Mshiriki wa shindano la ‘’SMIRNOFF ICE BLACK DJ SEARCH’ akionesha umahiri wake katika kutumia mashine mapema mwishoni wa wiki  ikiyopita katika fukwe za Coco.

Dar es Salaam, Oktoba 14 2017-Kampuni  ya bia ya Serengeti (SBL) leo  imezindua upya  msimu wa pili wa ‘’Smirnoff ice black’’ (SIB) Dj search . Kampeni  hii  ya miezi mitatu itakayolenga kusaka Dj bora na kuleta karibu kinywaji hicho kwa watumiaji  wake nchi nzima.
Akiongea katika uzinduzi huo maeneo ya Coco Beach Dar es salaam Meneja wa bidhaa wa SBL Ester Raphael amesema mashindano haya yana dhumuni la kuhamasisha na kuvutia watumiaji wapya wa kinywaji hicho huku wakishindanisha maDJ nchi nzima na kupata vinara watatu ambao watapa ta zawadi nono.
Lengo jingine la uzinduzi huu alifafanua  Ester ‘’Ni kuongeza ufahamu wa kinywaji hicho kwa watumiaji wake kwamba ni kinywaji ambacho kipo tayari kwa kunywa na kuhamasisha kuwa ina ladha ya kipekee ya limao.
 “Tunaamini kwa kupitia shindano hili , SBL itatoa msisimko kwa wateja wake na muziki mzuri na nafasi ya kipekee kuonyesha uwezo wa MaDj wanaochipukia’’. Ester ametaja mikoa ambayo shindano hilo litafanyika, mikoa hiyo ni pamoja na Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Morogoro, and Mwanza kila mkoa kutoa maDj 10 na jumla kuwa maDJ 50, mwishoni watapambanishwa na kupata washindi watatu ambao watapokea zawadi kutoka SBL.
“Kutakuwa na zawadi kwa washindi wetu”, alifafanua na kusema zawadi hizo zitajumuisha DJ kits, laptops na controllers kwa washindi watatu watakaofika finali hizo.
Ester alimalizia kwa kusema “Tunapenda kuchukua nafasi hii kuwaalika maDj wote na wapenzi wa muziki kujumuika nasi katika shindano hili ili kusherekea kwa pamoja na kinywaji chetu cha Smirnoff Ice Black’’

ADVERTISEMENT
Previous Post

MAELFU YA WAKAZI WA SONGEA WAFURAHIA MSIMU WA TIGO FIESTA

Next Post

PRIVATE SECTOR ASSOCIATIONS AND CIVIL SOCIETY ORGANISATIONS CEO`S MEET TO DISCUSS SUSTAINABLE DEVELOPMENT GOALS (SGD’S) IN DAR ES SALAAM

admin

admin

RelatedPosts

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini
BUSINESS NEWS

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

by admin
August 10, 2022
0

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biasharawa NMB- Bw. Filbert Mponzi(katikati) akizungumza kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mbeya....

Read more
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

August 7, 2022
Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

August 5, 2022
Load More
Next Post

PRIVATE SECTOR ASSOCIATIONS AND CIVIL SOCIETY ORGANISATIONS CEO`S MEET TO DISCUSS SUSTAINABLE DEVELOPMENT GOALS (SGD'S) IN DAR ES SALAAM

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

August 5, 2022
SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

August 5, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

August 11, 2022
Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

August 11, 2022
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

August 11, 2022
Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

August 11, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In