• About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact
Bongo Swaggz
Advertisement
ADVERTISEMENT
  • Mwanzo
  • Udaku
  • Mahusiano
  • Burudani
  • Michezo
  • Simulizi
  • Afya
  • Magazeti
No Result
View All Result
  • Mwanzo
  • Udaku
  • Mahusiano
  • Burudani
  • Michezo
  • Simulizi
  • Afya
  • Magazeti
No Result
View All Result
Bongo Swaggz
No Result
View All Result
Home MICHEZO

Chelsea yajiunga na Man u kumuwinda Upemacano

OMBENI OSWARD by OMBENI OSWARD
January 11, 2021
in MICHEZO
0
Chelsea yajiunga na Man u kumuwinda Upemacano
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

 Hatma ya muda mrefu ya mlinzi wa RB Leipzig Dayot Upamecano inaonekana kutokuwa na uhakika kuendelea kusalia klubuni hapo baada ya kuwaniwa na magwiji wa Ligi kuu ya Uingereza.

The Mail Jumapili imeripoti kwamba Chelsea wamejiunga na orodha ya vilabu vinavyomuwania Upamecano, wakiwa katika ushindani dhidi ya Manchester united iliyoonesha kuvutiwa zaidi na beki huyo kwa muda mrefu.

ADVERTISEMENT

Mlinzi huyo wa kati wa kimataifa wa Ufaransa ameibuka kama mmoja wa mabeki wa Ulaya anaewaniwa zaidi katika misimu ya hivi karibuni na ni sehemu ya timu ya Leipzig ambayo imefungwa mabao 12 tu katika michezo 15 ya Bundesliga msimu huu.

Upamecano, 22, anaonekana kuwa kivutio cha wengi na huenda thamani yake ikazidi kupanda.

Previous Post

Baada ya kuvunja na pora, wezi wajisalimisha wenyewe kwa kwenye duka, fahamu kilichowapata

Next Post

Ben Pol aongelea kuhusu kubadili dini

OMBENI OSWARD

OMBENI OSWARD

Next Post
Ben Pol aongelea kuhusu kubadili dini

Ben Pol aongelea kuhusu kubadili dini

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

  • Trending
  • Comments
  • Latest
New Music Yamoto Band ft Christian Bella – Wambea Download Hapa

New Music Yamoto Band ft Christian Bella – Wambea Download Hapa

January 31, 2020
Kwanini Mbuzi na Papai Vilionekana na Maambukizi ya Corona (COVID-19)? Mtaalamu wa Chuo Kikuu Atoa Ufafanuzi.

Kwanini Mbuzi na Papai Vilionekana na Maambukizi ya Corona (COVID-19)? Mtaalamu wa Chuo Kikuu Atoa Ufafanuzi.

May 11, 2020

Hayani Madhara ya Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba (P2)

January 31, 2020

Audio: Professor Jay Ft. Sholo Mwamba – Kazi Kazi | Download

January 31, 2020

BABA YAKE DIAMOND AFUNGUKA ASEMA “DIAMOND SIO RIZIKI YANGU” CHEKI HAPA

32
BABA MDOGO AMEINGIA GAFLA CHUMBANI KWANGU NA KUNIKUTA UCHI NIKIVAA NGUO, SASA ANANISUMBUA ,ANATANITAKA

BABA MDOGO AMEINGIA GAFLA CHUMBANI KWANGU NA KUNIKUTA UCHI NIKIVAA NGUO, SASA ANANISUMBUA ,ANATANITAKA

28
Eti Huyu ndiye binti anayedai kubakwa na mume wa Flora Mbasha..Kwa Staili Hii No Comment

Eti Huyu ndiye binti anayedai kubakwa na mume wa Flora Mbasha..Kwa Staili Hii No Comment

28

DIAMOND PLATNUMZ APOST UJUMBE MZURI KULIKO YOTE ALIYOWAHI KUPOST MTANDAONI, USOME HAPA

26
Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

January 21, 2021
Diamond apewa agizo na BASATA

Diamond apewa agizo na BASATA

January 21, 2021
Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

January 21, 2021
VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

January 21, 2021

Habari Mpya

Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

52 mins ago
Diamond apewa agizo na BASATA

Diamond apewa agizo na BASATA

5 hours ago
Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

5 hours ago
VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

6 hours ago
Bongo Swaggz

Bongo Swaggz

Bongo Swaggz ni blogu ya kijamii inayokuletea habari mbalimbali za udaku, michezo na burudani, mziki, simulizi, makala, afya na mahusiano kutoka ndani na nje ya nchi.

Follow Us

Habari za kila siku

January 2021
M T W T F S S
« Dec    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
25262728293031

Habari Mpya

Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

Wadau wa michezo watakiwa kutumia mitandao vizuri

January 21, 2021
Diamond apewa agizo na BASATA

Diamond apewa agizo na BASATA

January 21, 2021
Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

Z Anto ajibu ishu ya ukaribu wake na Nicole Berry

January 21, 2021
VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

VideoMPYA: Harmonize – Anajikosha

January 21, 2021
  • About
  • Advertise
  • Privacy & Policy
  • Contact

© 2020 Bongo Swaggz | Powered by Koncept

No Result
View All Result
  • Mwanzo
  • Udaku
  • Mahusiano
  • Burudani
  • Michezo
  • Simulizi
  • Afya
  • Magazeti

© 2020 Bongo Swaggz | Powered by Koncept