• Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Monday, September 25, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
Advertisement
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    Rais Samia aweka Jiwe la Msingi la Skuli ya Mil. 600/- inayojengwa na NMB

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    NMB yadhamini CDF Trophy 2023 kwa Mil. 30/-

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    Rais Samia aipa cheti NMB cha mlipa gawio mkubwa

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    USAID and Jane Goodall Institute Tanzania Join Forces with $29.5 Million Agreement to Empower Gombe Communities

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result

Mwigulu aipongeza Benki ya CRDB kuendelea kuwa kinara katika soko

admin by admin
April 16, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 11 mins read
A A
1
Mwigulu aipongeza Benki ya CRDB kuendelea kuwa kinara katika soko
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuendelea kuwa kinara wa ubunifu wa huduma na bidhaa katika soko na kutengeneza faida kubwa inayoiwezesha benki hiyo kutoa gawio kwa wanahisa wake. 
 
Dkt. Mwigulu ametoa pongezi hizo wakati wa Semina ya Elimu ya Fedha na Uwekezaji iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wanahisa wake na Watanzania kuelekea Mkutano Mkuu wa Wanahisa unaotarajiwa kufanyika hapo kesho 22 Mei 2021 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC).

Akielezea namna ambavyo Serikali inajivunia utendaji wa Benki hiyo, Dkt. Mwigulu alisema Benki ya CRDB imekuwa ikishiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi kwa kusaidia miradi mbalimbali ya kimkakati inayotekelezwa na Serikali, pamoja na kuwekeza katika kupanua wigo wa ufikishaji huduma na kuongeza ujumuishi wa kifedha kwa wananchi. 
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba akihutubia katika Semina ya Elimu ya Fedha na Uwekezaji iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wanahisa na Watanzania katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Semina hiyo ilihudhuriwa na zaidi ya watu 2,000 ambao wengi walihudhuria kupitia mtandao.


“Serikali inaichukulia Benki hii kama Benki kiongozi, na namna ambavyo mmekuwa mkifanya vizuri inadhihirisha hilo. Nimesikia hapa mwaka jana mmetengeneza faida kubwa pamoja na changamoto ya COVID-19, hii inaonyesha uimara wa benki hii na uimara wa sekta ya fedha nchini kwetu, hongereni sana na asanteni kwa kutupa heshima,”alisema Dkt. Mwigulu huku akiwahamasisha Watanzania kuwekeza katika hisa za Benki ya CRDB ili kupata faida.

Dkt. Mwigulu alisema ili sekta ya fedha iweze kufanya vizuri zaidi na uchumi wa Tanzania uendelee kukua kunahitajika elimu ya kutosha juu ya masuala ya fedha na uwekezaji kwa wananchi. Alisema kwakutambua hilo mwaka 2011 Serikali ilianzisha Mpango wa Taifa wa Elimu ya Fedha ikiwa na lengo la kujenga jamii yenye uelewa mpana wa masuala ya fedha, kuongeza ujumuishi wa kifedha na kuchochea ukuaji wa uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na taifa.

“Niwapongeze Benki ya CRDB kwa kuwa bega kwa bega na Serikali katika kutoa elimu hii kwa wananchi, hii inaonyesha ni jinsi gani mnaishi maono ya Serikali, asateni sana,”aliongezea Dkt. Mwigulu ambapo pia alibainisha amekuwa akifuatilia semina hizo zinazoendeshwa na Benki ya CRDB ikiwamo ile ya uwezeshaji iliyofanyika mwezi Apri 2021 katika Kituo cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam.

Dkt. Mwigulu pia alielezea mikakati mbalimbali inayowekwa na Serikali katika kuboresha sekta ya fedha nchini ambapo alisema Wizara yake inampango wa kuandaa kikao kazi cha mabenki na wadau wengine wa sekta ya fedha ili kujadili changamoto zilizopo na maeneo ya uboreshwaji ili kuweza kufikia lengo. “Naiomba Benki ya CRDB kama Benki kiongozi kuongoza katika hili, naamini mtatusaidia kuyaongoza mabenki na taasisi nyengine za fedha katika hili,”aliongezea Dkt. Mwigulu.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay akitoa hotuba yake katika Semina ya Elimu ya Fedha na Uwekezaji iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Wanahisa na Watanzania katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). 

Akitaja baadhi ya mambo ambayo Serikali imapanga kuyajadili, Dkt. Mwigulu alisema ni pamoja na uboreshaji wa sera za usimamizi wa sekta ya fedha, kuboresha upatikanaji wa mikopo kwa wafanyabiashara hususan wajasiriamali wadogo kwa kuhakikisha benki zinatoa mikopo yenye riba rafiki, kuongeza ajira kwa wananchi, kupanua wigo wa biashara katika nchi jirani na kuwajengea wafanyabiashara uwezo wa kushiriki katika biashara katika masoko ya kimataifa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay alimshukuru Dkt. Mwigulu kwa kuikaribisha benki hiyo kushirikiana na Serikali katika kutekeleza mikakati ya kuimarisha sekta ya fedha nchini. Vilevile alimhakikishia kuwa benki hiyo itakwenda kuandaa sera ambayo itakwenda kuelekeza na kusimamia uwezeshaji katika sekta mbalimbali za maendeleo nchini. “Mheshimiwa Waziri nikuahidi kuwa tutakwenda kufanyia maelekezo yako kazi kwa kuweka mikakati itakayoongeza ushiriki wa benki yetu katika kukuza uchumi,” alisisitiza Dkt. Laay.
Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alisema malengo ya Semina hiyo ni kuwajengea uwezo Wanahisa wao pamoja na Watanzania wengine ili kuwajengea uwajibikaji wa kifedha na kuongeza  ushiriki katika fursa za uwekezaji hapa nchini pamoja na kupata uelewa wa huduma za benki hiyo zitakazowasidia kuboresha maisha yao.

“Kwa kutoa elimu hii Wanahisa wetu pia wanapata kufahamu zaidi faida za kuwekeza katika Benki yao ya CRDB, hivyo basi kuongeza uwekezaji na kupata faida nono zaidi, lakini pia kuwahamasisha na Watanzania wengine pia kuwekeza katika hisa za Benki ya CRDB na kuanza kupata gawio,” aliongezea Nsekela.
Aidha, Nsekela alisema kuwa mwaka huu Bodi ya Wakurugenzi imependekeza gawio la shilingi 22 kwa hisa kufuatia ikiwa ni ongezeko la asilimia 29.4 kulinganisha na gawio la shilingi 17 kwa hisa lililotolewa mwaka jana ikitokana na kuongezeka kwa faida ya benki hiyo mwaka 2020 kufikia shilingi bilioni 175. “Niwakaribishe Watanzania wengine waje kuwekeza ndani ya Benki yetu ili nawao waanze kunufaika na fursa hii,” alisisitiza Nsekela.

Mada mbalimbali ziliwasilishwa katika Semina hiyo ikiwamo; Elimu ya Fedha na Uwekezaji, Biashara ya Hisa Kidijitali, Huduma za Bima na CRDB Wakala. Washiriki wa Semina hiyo waliipongeza Benki ya CRDB kwa kuandaa semina hiyo huku wakisema imesaidia sana kuongeza uelewa juu ya masuala ya fedha na uwekezaji. Baadhi ya washiriki walipendekeza semina hiyo kufanyika mara kwa mara kwani bado uelewa wa masuala ya fedha na uwekezaji katika jamii bado ni mdogo.
























ADVERTISEMENT
Previous Post

Tigo Tanzania marks the 2020 Customer Service week in Style

Next Post

Washindi wiki ya nane Sherehekea Pesa wajizolea pesa

admin

admin

RelatedPosts

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!
Uncategorized

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

by iamkrantz
September 25, 2023
0

Tuliishi pamoja na mume wangu Kibet katika kaunti ya Lamu ambapo nilifanya kazi ya udaktari katika hospitali moja ya kibinafsi...

Read more
Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

September 21, 2023
NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

September 19, 2023
Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

September 15, 2023
KISA ;Mke aliyenikimbia kisa sina fedha arejea mwenyewe na kuomba msamaha!

KISA ;Mke aliyenikimbia kisa sina fedha arejea mwenyewe na kuomba msamaha!

September 15, 2023
NMB yawa benki ya tatu kwa faida Afrika Mashariki

NMB yawa benki ya tatu kwa faida Afrika Mashariki

September 11, 2023
Load More
Next Post
Washindi wiki ya nane Sherehekea Pesa wajizolea pesa

Washindi wiki ya nane Sherehekea Pesa wajizolea pesa

Comments 1

  1. haloonaquaintance says:
    2 years ago

    Top 10 Online Casinos – Games, Bonuses & Bonus
    Top 10 Online Casinos for 2021 – 검증사이트목록 Top 10 Online Casinos for real money. 윈벳 Play top games, 삼성 코엑스 compete in leagues, 온라인바카라게임 and win real money. 메이플 슬롯 강화

    Reply

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

  • Trending
  • Comments
  • Latest
Benki Ya NMB Yaendelea Kuwa Kinara Wa Ufanisi Nchini Tanzania

Benki Ya NMB Yaendelea Kuwa Kinara Wa Ufanisi Nchini Tanzania

July 29, 2022
Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

September 25, 2023
WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUSIER

WAZIRI MCHENGERWA AZINDUA BOTI YA KITALII YA TAWA SEA CRUSIER

March 16, 2023
NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

September 19, 2023
Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

Baada ya kufukuzwa kazi mume naye kanikimbia ila….!

September 25, 2023
Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

Asimulia namna alivyomtuliza mke wake aliyekuwa anatoka nje ya Ndoa

September 21, 2023
NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

NMB yashinda tena tuzo ya kuongoza kuwafadhili wajasiriamali – Afrika

September 19, 2023
Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

Dirisha la Ufadhili wa Masomo NMB Nuru Yangu 2023/24 lafunguliwa

September 15, 2023
Facebook Twitter Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In