ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, August 13, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Mambo yanayosababisha baadhi ya watoto wasifanye vizuri kwenye masomo

iamkrantz by iamkrantz
April 25, 2022
in NEWS, Uncategorized
Reading Time: 2 mins read
A A
0
Mambo yanayosababisha baadhi ya watoto wasifanye vizuri kwenye masomo
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mara kadhaa imeshuhudiwa baadhi ya watoto wakishindwa kufanya vizuri kwenye masomo. Jambo hili siyo zuri kwani linaathiri maisha ya watoto wenyewe pamoja na wazazi au walezi.

Wakati mwingine swala hili limekuwa kubwa kiasi cha kuwafanya baadhi ya watoto kupata shida hata kufanya mambo madogo kama vile kusoma na kuandika.

Hata hivyo kila jambo linalotokea duniani hutokea kwa sababu. Hivyo ukiwa wewe umeguswa na swala la baadhi ya watoto kutokufanya vizuri shuleni, basi karibu nikushirikishe mambo yanayosababisha baadhi ya watoto wasifanye vizuri kwenye masomo.

1. Matatizo ya kisaikolojia
Watoto wanaweza kukabiliwa na matatizo mbalimbali ya kisaikolojia ambayo huathiri uwezo wao wa kujifunza shuleni.

Baadhi ya watoto huzaliwa na matatizo haya huku mengine hutokana na matendo kama vile ukatili wa kijinsia au unyanyasaji mwingine wanaofanyiwa baadhi ya watoto ambayo hupelekea kuathirika kisaikolojia.

Baadhi ya watoto hubakwa, hulawitiwa, hupigwa, hunyimwa chakula au hata mahitaji muhimu. Hili huwasababisha washindwe kujifunza na kuelewa mara wanapokuwa shuleni.

2. Changamoto za kujifunza
Baadhi ya watoto hukabiliwa na changamoto za kujifunza kama vile kutokuweza kutambua namba na herufi, woga, kutokusikia au kuona vizuri, n.k.

Maswala haya huathiri mchakato mzima wa mtoto kujifunza na kusababisha ashindwe kufanya vizuri kwenye masomo.

3. Matatizo ya kifamilia
Baadhi ya familia ni ngumu sana kwenye swala la malezi ya watoto. Kuna familia ambazo kila siku ni ugomvi, ulevi, au hata unyanyasaji mwingine kama vile utumikishaji wa watoto pamoja na mazingira duni ya kuishi.

Tafiti mbalimbali zinaeleza kuwa watoto wanaoishi kwenye familia za aina hii huathirika kiakili, kimwili na hata kiroho, hivyo hushindwa kufanya vizuri kwenye masomo.

Hebu fikiri mtoto anayeishi kwenye familia ambayo kila siku ni ugomvi au inamazingira ya ulevi na uasherati, je ataweza kufanya vizuri kwenye masomo kweli? Naamini hapana.

4. Maradhi
Maradhi huathiri watu wa kila rika, lakini humwathiri mtoto zaidi. Maradhi yanapomkabili mtoto humfanya ashindwe kutulia na kujifunza vizuri mara awapo darasani.

Baadhi ya watoto hukabiliwa na maradhi ya akili, maradhi ya kurithi au kuambukizwa au hata ulemavu mbalimbali, hivi kwa pamoja huathiri mtoto na kumfanya asifanye vizuri kwenye masomo.

5. Shule duni
Siyo kila shule inafaa kwa ajili ya kila mtoto. Baadhi ya shule huendeshwa kwa lengo kuu la kupata pesa na si kuwawezesha watoto kufikia malengo yao.

Shule bora inapaswa kuwa na mazingira bora ya kujifunza pamoja na mikakati mbalimbali inayowezesha wanafunzi kufanya vizuri kwenye masomo.

Soma pia: Mambo 10 ya Kuzingatia Unapomtafutia Mtoto Shule

6. Ukosefu wa nidhamu
Baadhi ya watoto huwa na nidhamu mbaya mara wanapokuwa shuleni; wengi hawatambui kuwa nidhamu ni msingi wa mafanikio katika taaluma.

Baadhi ya watoto au wanafunzi hutoroka, huvuta bangi, hulewa, huenda disko, n.k.

Wanafunzi hawa mara nyingi hawawi kwenye eneo husika kwa wakati husika, muda wa darasani wao wapo bwenini au nje ya shule, muda wa mitihani wao wapo eneo jingine au wanafanya jambo jingine. Hili huwafanya washindwe kufanya vizuri kwenye masomo yao.

Hitimisho

Swala la kufanya vizuri kwenye masomo linahitaji pande kuu tatu zihusike kikamilifu yaani mzazi, mwanafunzi na shule ili liweze kutimia.

Ikiwa upande mmoja hautakaa kwenye nafasi yake jinsi ipasavyo ni lazima kiwango cha kufaulu cha mtoto kitakuwa duni.

Tags: ELIMUMAKALA
ADVERTISEMENT
Previous Post

Kalameni Kaachiliwa Baada ya Miaka 4 ya Gerezani,

Next Post

Fahyma Aupiga Mwingi Kwa Rayvanny “Mfikishieni Salamu kidudu Mtu”

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

by ALFRED MTEWELE
August 12, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika ziara yake mkoani Iringa kwa siku ya pili...

Read more
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

August 12, 2022
Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

August 11, 2022
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

August 11, 2022
Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

August 11, 2022
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

August 10, 2022
Load More
Next Post
Fahyma Aupiga Mwingi Kwa Rayvanny “Mfikishieni Salamu kidudu Mtu”

Fahyma Aupiga Mwingi Kwa Rayvanny "Mfikishieni Salamu kidudu Mtu"

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
AIRTEL YAIBUKA NAFASI YA PILI TUZO ZA HUDUMA BORA

AIRTEL YAIBUKA NAFASI YA PILI TUZO ZA HUDUMA BORA

August 9, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

August 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

August 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

August 12, 2022
Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

August 12, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In