ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BENKI YA CRDB YASHINDA TUZO MBILI ZA MASUALA YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI KITAIFA DODOMA

iamkrantz by iamkrantz
April 29, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 10 mins read
A A
0
BENKI YA CRDB YASHINDA TUZO MBILI ZA MASUALA YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI KITAIFA DODOMA
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wanyeulemavu, Prof. Joyce Ndalichako akimkabidhi tuzo ya mshindi wa pili Sekta za Fedha katika maadhimisho ya Usalama na afya Mahala pa Kazi iliyokwenda kwa Benki Benki ya CRDB ambayo ilipokelewa na Mkuu wa kitengo cha Ulinzi, Usalama na Mwendelezo wa Biashara wa Benki hiyo, Misana Mutani. Tuzo hiyo pamoja na ile ya Mshindi wa Jumla wa Huduma za Jamii ya OSHA zilitolewa wakati wa ufungaji wa maonesho ya OSHA kitaofa jijini Dodoma tarehe 28 Aprili,2022. Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Patrobas Katambi. 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wanyeulemavu, Prof. Joyce Ndalichako akimkabidhi tuzo ya mshindi wa pili Sekta za Fedha katika maadhimisho ya Usalama na afya Mahala pa Kazi iliyokwenda kwa Benki Benki ya CRDB ambayo ilipokelewa na Mkuu wa kitengo cha Ulinzi, Usalama na Mwendelezo wa Biashara wa Benki hiyo, Misana Mutani. Tuzo hiyo pamoja na ile ya Mshindi wa Jumla wa Huduma za Jamii ya OSHA zilitolewa wakati wa ufungaji wa maonesho ya OSHA kitaofa jijini Dodoma tarehe 28 Aprili,2022. Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Patrobas Katambi. 

Wananchi mbalimbali waliotembelea Banda la Benki ya CRDB katika maonesho ya OSHA wakipata huduma katika banda hilo.

Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB, Dkt. Joseph Witts (wapili kulia) akiongozana na Mkuu wa kitengo cha Ulinzi, Usalama na Mwendelezo wa Biashara wa Benki ya CRDB, Misana Mutani (kulia) wakipata maelezo ya huduma mbalimbali za usalama na afya mahala pa kazi katika banda la Benki ya  CRDB.

Meneja Uangalizi Majengo wa Benki ya CRDB, Elia Mnonjela  (kushoto) akizungumza na wateja waliotembelea Banda la benki hiyo lililopo katika Maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete. 

Afisa wa Usalama na Afya mahala pa kazi wa Benki ya CRDB, Narsisa Kasinde (kushoto) akizungumza na wateja waliotembelea Banda la benki hiyo lililopo katika Maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete. 

Meneja Uangalizi Majengo wa Benki ya CRDB, Elia Mnonjela (kushoto) akizungumza na wateja waliotembelea Banda la benki hiyo lililopo katika Maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Dodoma katika viwanja vya Jakaya Kikwete. 


Mgeni Rasmi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako (katikati) akiwa katika picha ya pmoja na Maofisa wa Benki ya CRDB. 

**********

Benki ya CRDB imeibuka mshindi wa tuzo mbili za masuala ya usalama na afya mahala pa kazi wakati wa kilele cha madhimisho ya Usalama na Afya mahala pa kazi Duniani yaliyofanyika kitaifa jijini Dodoma leo tarehe 28 April, 2022. 


Tuzo hizo za sekta bora ya fedha inayozingatia usalama na afya mahala pa kazi na ile ya utoaji huduma za kijamii (CSR) zilizotolewa na OSHA na kukabidhiwa kwa CRDB na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Wenyeulemavu, Prof. Joyce Ndalichako wakati akifunga maadhimisho hayo.

Maadhimisho hayo yalifanyika sambamba na Maonesho ya huduma mbalimbali za usalama na afya mahala pa kazi ya siku tatu Yenye kaulimbiu “Kwa pamoja tushirikiane kujenga utamaduni bora wa usalama na afya mahali pa kazi” yalifunguliwa rasmi tarehe 26 April ikiwa ni utekelezaji wa sera na jitihada ya Serikali katika kuhakikisha uhamasishwaji wa Usalama na afya mahali pa kazi unatekelezwa ili kulinda afya na usalama wa wafanyakazi. 

Aidha Serikali imekuwa ikishirikiana kwa pamoja na Shirika la Kazi Duniani (ILO) katika masuala yote yanayohusu kazi na ajira. Kwa kutambua hilo Benki ya CRDB imekuwa mdau kwa kuipa kipaumbele sera ya afya na usalama mahali pa kazi kwakushirikiana na OSHA ambao ndio wasimamizi wa mpango huo. 

Akizungumza katika maonesho hayo baada ya kukabidhiwa tuzo hizo, Mkuu wa kitengo cha Ulinzi, Usalama na Mwendelezo wa Biashara wa Benki ya CRDB, Misana Mutani alisema, kuongezeka kwa vifaa vya digitali na matumizi ya teknolojia kumebadilisha kabisa mazingira ya kazi hususani kuongezeka kwa vihatarishi mahali pa kazi. Uchafuzi wa mazingira kutokana na baadhi ya shughuli za uzalishaji Viwandani, Migodini na baadhi ya shughuli nyingine za binadamu umesababisha mabadiliko ya tabia nchi.
 
 “Mahitaji ya dunia yanayotokana na utandawazi yamepelekea kuwepo na idadi kubwa ya wafanyakazi wanaofanya kazi kwa saa nyingi kuliko kawaida na matumizi ya vifaa vya kieletroniki, hivyo kwa kulitambua hilo, Benki ya CRDB imekuwa ikilipa kipaumbela swala la afya na usalama kazini,” alisema Mutani.

Mutani amesema Benki imekuwa ikiendesha program mbalimbali kwa wafanyakzi Tanzania nzima ikiwa ni pamoja na upimaji wa afya kwa wafanyakzazi wote kila mwaka, uwepo wa siku ya Afya ya Benki ya CRDB “CRDB Bank Wellness Day” inayofanyika kwa matawi yetu yote, lakini pia kuwa na Chumba maalumu cha huduma ya kwanza, Chumba cha akina mama na watoto (Lactation Room) pamoja na uanzishwaji wa mfuko wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. 

“Mustakabali wa kazi hasa wakati nchi yetu inaendelea kujenga uchumi wa viwanda na kuelekea uchumi wa kati na ukuaji wa haraka wa teknolojia inayotumika katika viwanda na maeneo mengine ya kazi kunagusa moja kwa moja afya na usalama wa wafanyakazi,” alisema Mutani. 

Katika juhudi za kupambana na hali hiyo kwa sasa duniani kote msisitizo umekuwa ni kuhamasisha kazi kijani (green jobs) na viwanda vinahimizwa kupunguza hewa ukaa hali ambayo itasaidia kupunguza vihatarishi sehemu za kazi na hatimaye kupunguza madhara ya kiafya kwa wafanyakazi.  

“Muhimu sana kwa sasa kuliko wakati wowote kuanza kutambua vihatarishi vipya katika maeneo ya kazi. Kutambua vihatarishi hivyo ni hatua muhimu ya kwanza kabisa itakayopelekea kuweka mikakati ya kuzuia vihatarishi hivyo ili wafanyakazi wasipate ajali na magojwa yatokanayo na kazi,” alisema Mutani.

 Ajali na magonjwa yatokanayo na kazi ni mambo ambayo yanaweza kuzuilika kwa kuwa vyanzo vyake vinaweza kutambulika na kuonekana tangu mapema kama tutakuwa makini. Ili kutambua vyanzo hivyo Benki yetu ya CRDB imeona uwepo wa umuhimu wa kujenga utamaduni wa masuala ya afya na usalama mahali pa kazi miongoni mwa jamii. 

Katika kujenga utamaduni wa kuzuia vihatarishi sehemu za kazi ni wakati muafaka sasa kwa nchi yetu kuingiza masuala ya afya na usalama kazini”. Alisema Misana.

Benki ya CRDB imeshiriki maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Jakaya Kiwete Convation Centre, Jijini Dodoma. Maonesho  yalisimamiwa na kitengo cha  Ulinzi, Usalama na Mwendelezo wa Biashara cha Benki ya CRDB kilichopo Makao Makuu  – Dar es salaam na kushirikiana na wawakilishi wa Osha wa Benki ya CRDB Kanda ya Dodoma. Shughuli mbalimbali zinazohusu usalama na Afya kazini zinazosimamiwa na Benki zilionyeshwa katika Banda la Benki ya CRDB katika viwanja hivyo.
ADVERTISEMENT
Previous Post

Manula Afunguka ni Wapi Atacheza Msimu Ujao..Azam Yatajwa

Next Post

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR
Uncategorized

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

by iamkrantz
February 9, 2023
0

  Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi - Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

January 31, 2023
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

January 25, 2023
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
Load More
Next Post
JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

JENGA MAISHA BORA YA WATOTO WAKO KWA KUWAKATIA BIMA KUPITIA BENKI YA NMB

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 NA 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In