ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

    BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Vodacom Tanzania Yazindua Huduma ya Bima ya Afya kupitia mfumo wa M-Pesa

iamkrantz by iamkrantz
May 14, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 4 mins read
A A
0
Vodacom Tanzania Yazindua Huduma ya Bima ya Afya kupitia mfumo wa M-Pesa
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkurugenzi wa Mpesa , Epimack Mbeteni akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya VodaBima “Linda afya na VodaBima” uliofanyika jijini Dar es salaam, Vodacom kwa kushirikiana  na kampuni za Jubilee Insurance ,Mo Assurance pamoja na Milvik Tanzania watatoa huduma za bima ya afya inayolenga  kutumia  mfumo wa kidijitali katika utoaji wa huduma za afya jumuishi nchini

Meneja Masoko wa M-Pesa, Noel Mazoya akizungumza kabla ya uzinduzi wa huduma ya VodaBima “Linda afya na VodaBima”  kwenye ofisi za makao makuu ya Vodacom jijini Dar es salaam

Mkurugenzi wa M-pesa , Epimack Mbeteni (wa pili kulia) akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Jubilee Insurance, Dinpankar Acharya (kushoto), Meneja wa Utekelezaji Sheria na Kushughulikia Malalamiko (TIRA), Okoka Mgavilenzi (watatu kulia), Afisa  Bima Mkuu Mo Assurance, Pamela Ndosi (wa pili kushoto),  mkuu wa Kitengo cha Mauzo Milvik, Ismail Simanga (Watatu kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja ya uzinduzi rasmi wa huduma ya  VodaBima “Linda afya na VodaBima”

 

Huduma hiyo mpya chini ya VodaBima ni kwa ushirikiano na Jubilee Insurance, Mo Assurance na Milvik Tanzania.

 

13 Mei 2022, Vodacom Tanzania Plc, kampuni inayoongoza kwa huduma za teknolojia na mawasiliano, nchini leo imetangaza ushirikiano na Milvik kutoa huduma za bima ya afya kutoka Jubilee Insurance na Mo Assurance inayolenga  kutumia dijitali katika utoaji wa huduma za afya jumuishi.

Upanuzi huu unakuja baada ya kampuni hiyo kufanikiwa kwa bidhaa zake za bima ya magari kupitia VodaBima ambayo inatoa huduma za bima kubwa na ndogo kwa ushirikiano na kampuni 10 zinazotoa huduma za bima wanaoongoza nchini, jambo ambalo litawezesha Watanzania kupata huduma muhimu za afya.

Vifurushi vya bima ya Afya kutoka kwa washirika hawa vitaweza kuwafikia kwa urahisi wateja na vinapatikana kwenye huduma za Vodacom M-Pesa. Vifurushi hivyo ni vya bei nafuu na vinatarajiwa kurahisisha mchakato wa matibabu ya afya nchini. Vifurushi vilivyoanzishwa ni pamoja na malipo wagonjwa wanaolazwa hospitalini, ajali, maisha na bidhaa iliyounganishwa (Faraja Yangu) ambayo hutoa faida na kwa wengine, kwa kuwahusisha watu wazima na watoto na hutofautiana kwa bei kulingana na umri wao na virufushi maalum.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Vodacom M-Pesa, Epimack Mbeteni    alisema, “Tuna furaha kubwa leo kuweza kutangaza maendeleo haya muhimu katika utoaji wa bima kwa Watanzania. Vodacom Tanzania imeweka mkazo mkubwa kwenye afya kama kichocheo kikuu cha shughuli zetu zinazoongozwa na malengo. Huduma ya afya ni hitaji la msingi kwa Watanzania wote na tunaamini inapaswa kupatikana kwa urahisi kwa wote, hivyo ushirikiano wetu na Milvik, Jubilee na Mo assurance utasaidia kufungua hitaji hili.”

Vodacom imekuwa ikishiriki kikamilifu katika utoaji wa huduma za afya nchini kwa miaka mingi, imeweza kutoa msaada katika maeneo tofauti kama vile matibabu ya fistula ya uzazi, msaada na matibabu kwa watoto wachanga na familia zao. Mwezi uliopita, kampuni pia ilifanikiwa kuzindua mpango wake wa m-mama kusaidia wanawake wajawazito wanaopata dharura wakati wa kujifungua.

Vifurushi hivi vya bima ya afya vinakuja kufuatia mapokezi chanya ya bima ya magari iliyoanzishwa mapema mwaka huu kwa ushirikiano na kampuni 10 za bima ambapo sasa Watanzania watafurahia urahisi wa kununua bima kutoka eneo lolote nchini bila adha ya kutembelea ofisi za wakala yeyote wa bima.

Vodacom Tanzania PLC inaendelea kufanya kazi ya kutoa suluhu za kibunifu zaidi kwa wateja wake, juhudi ambazo hivi karibuni zimeiwezesha kupata tuzo ya mtoa huduma bora ya mtandao wa simu kutoka Tume ya TEHAMA nchini.

Kwa niaba ya Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Meneja Utekelezaji Sheria na kushughulikia malalamiko (TIRA), Okoka Mgavilenzi alisema serikali inahimiza matumizi ya teknolojia katika kupata na kutoa huduma muhimu za kidijitali ikiwemo bima. “Tunaipongeza Vodacom Tanzania kwa kuja na ubunifu huu na kuchukua hatua kubwa ya kuongeza watoa huduma wengi wa bima kwenye mtandao wa kidijitali wa VodaBima ambao tunaamini utaongeza kwa kasi kikubwa upatikanaji na matumizi ya huduma ya bima nchini hasa katika eneo la afya ambayo umezindua leo,” alisema Mgavilenzi.

Mkuu wa Kitengo cha Mauzo Milvik, Ismail Simanga alisema tukio hilo lilikuwa hatua kubwa sana ambayo itashuhudia afya ya famiia ikilindwa vyema na bima bora ya afya. “Afya na usalama wa famila yako inamaanisha ulimwengu kwako. Tunaelewa na tunataka kukusaidia kuwalinda wapendwa wako dhidi ya hali zilizo nje ya uwezo wako”.

Kupitia jukwaa la MPesa watanzania wataweza kupata bima zetu popote pale walipo bila tabu yoyote.

ADVERTISEMENT
Previous Post

Mwakalebela aishutumu Simba SC Ligi Kuu

Next Post

MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR
Uncategorized

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

by iamkrantz
February 9, 2023
0

  Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi - Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

January 31, 2023
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

January 25, 2023
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
Load More
Next Post
MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB

MIRADI YAKO IKO SALAMA UKIWA UMEBIMA NA BENKI YA NMB

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

BREAKING NEWS: AJALI YAUWA WATU 12 HUKU 50 WAJERUHIWA

February 9, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In