ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, February 9, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    GOLIKIPA TIMU YA TAIFA UTURUKI AKUTWA AMEFARIKI

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    MKE WA DR MWAKA AOMBA SERIKALI IMSAIDIE

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi 15,000*

iamkrantz by iamkrantz
May 23, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 2 mins read
A A
0
TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi 15,000*
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Wanafunzi wa shule za Sekondari ya Lipuli na Lyandembela katika halmashauri ya wilaya ya Iringa wakijibu maswali baada ya kuelimishwa masuala ya viwango. TBS inato elimu kwa wanafunzi kujenga tamaduni ya masuala ya ubora kuanzia ngazi ya chini ili kuhakikisha bidhaa hafifu zinapungua sokoni.

 

Maafisa wa TBS wakitoa elimu ya viwango ikiwa ni pamoja na namna ya kutuma maoni/malalamiko pale wanapokutana na changamoto zozote kwenye bidhaa katika soko la Ifunda wilayani Iringa.

 

 

Maafisa wa TBS wakitoa elimu ya viwango ikiwa ni pamoja na namna ya kutuma maoni/malalamiko pale wanapokutana na changamoto zozote kwenye bidhaa katika soko la Ifunda wilayani Iringa.

 

Maafisa wa TBS wakitoa elimu ya viwango ikiwa ni pamoja na namna ya kutuma maoni/malalamiko pale wanapokutana na changamoto zozote kwenye bidhaa katika soko la Ifunda wilayani Iringa

 

Na Mwandishi Wetu

WANANCHI zaidi ya 15,000 katika Wilaya za Songwe, Njombe, Mufindi na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wamepatia elimu kuhusiana na umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) sambamba na kuhamasisha wafanyabiashara kusajili maduka ya chakula na vipodozi.

Kampeni hiyo ya kutoa elimu kwa wanachi hao ilianza tarehe 07.05.2022 katika wilaya hizo na kuhitimishwa mwanzoni mwa wiki hii ambapo ilifanyika katika maeneo mbalimbali yakihusisha na shule za msingi na sekondari, masoko, stendi, minadani na maeneo mengine ya wazi ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kupata elimu na ufahamu wa masuala mbalimbali yahusuyo ubora wa bidhaa.

Akizungumzia kampeni hiyo Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Mji wa Mafinga, Stephen Shemdoe, aliipongeza TBS kwa kutoa elimu kwa wanafunzi na alishauri kuanzishwa kwa klabu za kudumu za masuala ya viwango katika shule za sekondari kwa miaka ijayo ili elimu hiyo iwe endelevu.

Kwa upande wake Meneja Uhusiano na Masoko wa TBS, Gladness Kaseka aliwakumbusha wananchi kutambua kuwa vita ya bidhaa hafifu sio ya TBS pekee, bali ni ya Taifa kwa ujumla.

“Katika kampeni hii tumeweza kuwafikia wananchi 15,865 kati yao wanafunzi wa shule za msingi na sekondari 9,144 na wananchi 6,721,” Alisema Kaseka.

Kaseka aliwafafanulia wanafunzi pamoja na walimu kuhusu umuhimu wa viwango katika maisha yao ya kila siku vile vile kuwafahamisha fursa ya huduma bure kwa wajasiriamali wadogo.

Aliwataka wananchi waliopata elimu hiyo kuhakikisha wanakuwa mabalozi kwa kuhamasisha ubora katika jamii wanazoishi.

Aidha, alitoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa taarifa pindi wanapokutana na bidhaa zilizokwisha muda wake au wanapotilia shaka bidhaa yoyote katika soko.

Kwa upande wa wafanyabiashara aliwataka kuhakikisha wanafuatilia taratibu sahihi za usajili wa bidhaa au majengo ya chakula na vipodozi kwa kutembelea ofisi ya TBS iliyopo karibu au kupiga katika kituo cha huduma kupitia mawasiliano yaliyotolewa.

 

Kampeni ya kuelimisha umma inayotolewa na shirika hiyo ni endelevu itaendelea katika wilaya za mikoa ya Kaskazini.
Mwisho

 

ADVERTISEMENT
Previous Post

WATEJA KUOKOA HADI Tsh 1,000,000 KAMPENI MPYA YA ” LGs SOMETHING BETTER “.

Next Post

Wanahisa Wa Benki Ya CRDB Waidhinisha Malipo Ya Gawio La Shilingi Bilioni 94 Kwa Mwaka Wa Fedha Wa 2021

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR
Uncategorized

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

by iamkrantz
February 9, 2023
0

  Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi - Idrissa Kitwana Mustafa na Mkuu wa Idara ya Bima wa Benki ya...

Read more
NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

NMB KUWAPELEKA DUBAI WASHINDI 7 WA KAMPENI YA NMB MastaBata Kote Kote

February 8, 2023
NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

NMB yazindua Umebima 2023 kutoa elimu zaidi ya bima

January 31, 2023
Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

January 25, 2023
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
Load More
Next Post
Wanahisa Wa Benki Ya CRDB Waidhinisha Malipo Ya Gawio La Shilingi Bilioni 94 Kwa Mwaka Wa Fedha Wa 2021

Wanahisa Wa Benki Ya CRDB Waidhinisha Malipo Ya Gawio La Shilingi Bilioni 94 Kwa Mwaka Wa Fedha Wa 2021

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

KOPYUTA MPAKATO YALIPUKA NDANI YA NDEGE

February 8, 2023
UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

UAE YATOA DOLA MIL. 100 KUSAIDIA WAHANGA WA TETEMEKO, UTURUKI

February 9, 2023
MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

MUSWADA WA BIMA YA AFYA KWA WOTE KIKWAZO TENA

February 9, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Alhamisi Februari 9,2023

February 9, 2023
NMB WAZINDUA  KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

NMB WAZINDUA KAMPENI YA “UMEBIMA TELEZA NA HII”ZANZIBAR

February 9, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In