ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Tuesday, January 31, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    NMB kupeleka washindi 8 Dubai kupitia Droo ya ‘Grand Finale’

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 30,2023

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

NMB YAKUTANA NA WADAU WA UTALII MKOANI ARUSHA

iamkrantz by iamkrantz
May 25, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 2 mins read
A A
0
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Francis Michael akisalimiana na wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mkuu wa wateja Binafsi na Biashara, Filbert Mponzi (Kulia) wakati wa kongamano la wadau wa Utalii lililofanyika jijini Arusha.

 

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB – Filbert Mponzi akizungumza na wadau wa Utalii wakati wa Kongamano lililofanyika jijini Arusha. Benki ya NMB iliwakutanisha Wadau wa utalii zaida 150 ilikujadili mbinu za kuboresha biashara zao.

 

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Francis Michael amewataka wadau wa utalii mkoani Arusha kutumia fursa ya mikopo nafuu ya Benki ya NMB katika kuwekeza kwenye  sekta ya utalii ili kuvutia wageni nchini.

Akizungumza katika kongamano la utalii (Tourism Networking) lililofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki Dk. Michael alisema Benki ya NMB imekuwa chachu katika kuhakikisha inawapa mikopo wadau wa sekta ya utalii katika kuimarisha mazingira ya vivutio nchini.

“Tunaomba mfanye jitihada za kuijenga sekta ya utalii kwani serikali imeshaweka mazingira ya kuitangaza kupitia filamu ya Royal Tour ambapo hadi sasa kuna baadhi ya hoteli zimeshajaa wageni, hivyo ni kitu cha kujivunia kwetu na nyie kama wadau ni vyema mkatumia fursa hiyo katika kuweka mazingira sawa,” alisema Dk. Michael.

Dk. Michael aliwaeleza wadau wa utalii kutumia vema fursa waliyopewa na Benki ya NMB kwa sababu ni taasisi muhimu ya kifedha inayoshiriki kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kiuchumi na ubunifu nchini.

Alisema, fedha watakazotengewa kwa ajili ya mikopo wazitumie vema ili wazirudishe na wengine wapate fursa ya kuzipata kwa ajili ya kukuza uchumi na kuongeza idadi ya watalii nchini kwa maendeleo ya sekta zote.

Alisisitiza kuwa, wadau wa utalii wahakikishe wanatumia vema fursa waliyopewa na NMB kikamilifu ili kuimarisha usalama kwa watalii wanapokua nchini, ikiwemo kutumia vituo vya polisi vinavyohudumia watalii lengo likiwa ni kuongeza idadi ya watalii na kuwafanya wapate sababu za kurejea tena baada ya kurudi kwao.

“Hiki kinachofanywa na NMB ni kitu kikubwa sana, kifikirieni na mkitumie vizuri kwa sababu fursa kama hizi haziji mara mbili. Wafurahisheni watalii ili wakienda kwao wakawalete watu wengine na wao warejee tena na tena,” alisema Dk. Michael.

Afisa Mkuu wa Biashara na Wateja Binafsi wa NMB, Filbert Mponzi alisema benki hiyo wanaendelea  kuunga mkono juhudi  za Serikali kuboresha sekta ya utalii nchini. Aidha, Mponzi alisisitiza kuwa kwa miaka ya hivi karibuni NMB imeanza  kutoa huduma ya mikopo katika sekta ya utalii lengo ni kuimarisha katika kutoa huduma kwa wageni wanaofika nchini kutalii na kuona vivutio vilivyopo nchi nzima.

“Bado tunaendelea kutoa katika sekta ya utalii kwa lengo la kufanya vizuri zaidi na sasa tumejipanga kuwahudumia wageni wote wanaofika nchini, ili wakirudi kwao wapate sababu ya kurejea tena nchini,” alisema  Mponzi.

Benki ya NMB wiki kadhaa zilizopota walikutana na wadau wa utalii visiwani Zanzibar ambapo waliwaahidi kuwapa mikopo mbalimbali kuanzia maboti na miradi mingine itakayohamasisha watalii kutembelea visiwa hivyi vyenye utajiri wa historia na mambo ya kiasili.

 

*******ENDS******

 

 

ADVERTISEMENT
Previous Post

NMB yatenga Bilioni Moja kusaidia wabunifu wachanga

Next Post

MAGAZETINI LEO JUMATANO TAREHE 25 MEI 2022

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
Uncategorized

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

by iamkrantz
January 25, 2023
0

Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia...

Read more
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

January 23, 2023
Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

January 23, 2023
NMB YAZIDI KUMWAGA  ZAWADI ZA #MASTABATA

NMB YAZIDI KUMWAGA ZAWADI ZA #MASTABATA

January 6, 2023
Load More
Next Post
MAGAZETINI LEO JUMATANO TAREHE 25 MEI 2022

MAGAZETINI LEO JUMATANO TAREHE 25 MEI 2022

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

January 26, 2023
HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

HATIMAYE LISSU AREJEA TENA NCHINI

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Januari 31,2023

January 31, 2023
WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

WAZIRI MKUU: BUNGE BONANZA LIMEFANA

January 30, 2023
Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

Teknolojia Mpya ya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

January 30, 2023
WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

WIZARA YA AFYA YATOA FURSA KWA RAIA 12 KUSIMAMIA MIRADI

January 30, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In