ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Sunday, July 3, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

    Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

    Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    SAKATA LA CHADEMA MAMBO BADO YAMEKUWA MVUTANO

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    COSTECH YAJIPANGA KUONYESHA BUNIFU MPYA SABASABA 2022

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    CRDB Bank Marathon Msimu Mwingine 2022 Waja Hivi Karibuni

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Serikali Kununua Silaha za Raia Kuepusha Vifo Holela

iamkrantz by iamkrantz
June 1, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 2 mins read
A A
0
Serikali Kununua Silaha za Raia Kuepusha Vifo Holela
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Serikali ya Canada inatarajia kupitisha sheria mpya inayopiga marufuku uuzaji, ununuzi, uingizaji na uhamisho wa bunduki, sambamba na mpango wa kununua silaha zinazomilikiwa na raia wake ili kudhibiti matukio holela ya kiuhalifu nchini humo.

Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amesema hatua hiyo inafuatia uwepo wa matukio kadhaa ya kiuhalihu ikiwemo lile la vifo vya watu 22 waliouwawa katika kijiji cha Nova Scotia na mtu mwenye bunduki mwaka 2020.

“Kama serikali na kama jamii tuna jukumu la kuchukua hatua ili kuzuia majanga zaidi tunahitaji kujua ikiwa hatutachukua hatua kwa uthabiti na kwa haraka itakuwa mbaya zaidi na ngumu zaidi kukabiliana nayo,” amesema Trudea.

Mpango huu unaakisi ule uliochukuliwa na nchi ya New Zealand mwaka 2019 baada ya mtu aliyejihami kwa bunduki kuvamia misikiti miwili na kuuwa watu 51 na kujeruhi wengine kadhaa katika kanisa la Christchurch.

Shambulio jingine ni lile la vifo vya watu wengi nchini Australia mwaka 1996 lililoifanya Serikali ya nchi hiyo kukusanya zaidi ya bunduki 650,000 za semiautomatic na zile za aina nyingine kisha kupiga marufuku matumizi ya silaha chini ya sheria mpya.

Matumizi ya silaha kinyume na matarajio yamekuwa yakitokea katia maeneo mengi Duniani ambapo kwa nchini Tanzania novemba 2013 mfanyabiashara Gabriel Munisi (35), alijiua kwa risasi baada ya kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watatu jijini Dar es Salaam katika tukio lililohusishwa na wivu wa mapenzi.

Tukio hilo lilitokea ikiwa ni mwezi mmoja (Oktoba, 2013), baada ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa ITV Ufoo Saro kujeruhiwa na mama yake mzazi kuuliwa kwa risasi na mzazi mwenzake Anthery Mushi ambaye naye alijiua katika tukio lililosababishwa na masuala ya kimapenzi.

Mei 27, 2017 Maxmilian Tula (40), mkazi wa Kanyenyere kata ya Butimba jijini Mwanza alimuua mkewe Teddy Malulu kwa kumpiga risasi kisha na yeye kujiua kwa kujipiga risasi.

Aidha Mei 30, 2022 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Mairi Makori amethibitisha kifo cha mtuhumiwa Said Oswayo aliyejipiga risasi akidaiwa kumuua mkewe Swalha Salum (28), kwa kumpiga risasi kadhaa mwilini.

“Mwili huo umeopolewa ziwani eneo la ufukwe wa Rock Beach ukiwa na majeraha ya risasi kichwani na tumejiridhisha kuwa ndiye mtuhumiwa baada ya kutambuliwa na ndugu zake,” amesema Makori.

Julai 2021 Dar 24 iliripoti tukio la mwanaume mmoja Jonathan Gachunga(42), kumuua mkewe na kisha baadaye kujipiga risasi kichwani nyumbani kwao Kaunti ya Kiambu nchini Kenya.

Mamlaka stahiki zinapaswa kukemea kisha kuchukua hatua zitakazoondosha matukio ya vifo vinayosababishwa na matumizi ya silaha kwani yanaacha maumivu na majonzi kwa baadhi ya familia na kuharibu mustakabali wa maisha yao

ADVERTISEMENT
Previous Post

Habari Nzuri..Bei za Mafuta Zapungua.

Next Post

Rasmi Sasa Huyu Hapa Ndio Mwamba Anayemiliki Timu ya Chelsea

iamkrantz

iamkrantz

RelatedPosts

CRDB, USAID Na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya, Biashara Ndogo Na Kati Pamoja Na Sekta Zisizo Rasmi Tanzania
Uncategorized

CRDB, USAID Na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya, Biashara Ndogo Na Kati Pamoja Na Sekta Zisizo Rasmi Tanzania

by admin
June 30, 2022
0

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) kwa pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright...

Read more
WANANCHI WATAKIWA KUFIKA BANDA LA AKIBA COMMERCIAL BANK KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA HUDUMA

WANANCHI WATAKIWA KUFIKA BANDA LA AKIBA COMMERCIAL BANK KATIKA MAONESHO YA SABASABA KUPATA HUDUMA

June 30, 2022
NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

NMB WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA WAFANYAKAZI WENYE ULEMAVU DODOMA

June 30, 2022
Viongozi wa Zamani Obama na Merkel Kuonana Huko Washington

Viongozi wa Zamani Obama na Merkel Kuonana Huko Washington

June 30, 2022
Wasanii 3 wa Lebo ya WCB Wasafi Watinga Bungeni Dodoma

Wasanii 3 wa Lebo ya WCB Wasafi Watinga Bungeni Dodoma

June 29, 2022
Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

Rais Samia Amteua Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini

June 29, 2022
Load More
Next Post
Rasmi Sasa Huyu Hapa Ndio Mwamba Anayemiliki Timu ya Chelsea

Rasmi Sasa Huyu Hapa Ndio Mwamba Anayemiliki Timu ya Chelsea

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

Benki ya NBC yawapiga jeki wakulima kwa mikopo ya trekta.

July 2, 2022
MFAUME AMKALISHA ABDULMONEM SAID ROUND YA 2 TU

MFAUME AMKALISHA ABDULMONEM SAID ROUND YA 2 TU

July 1, 2022
PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

PSSSF YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 11.85 KUTOKA CRDB KWENYE UWEKEZAJI WA HISA

June 30, 2022
BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

BENKI YA CRDB YATOA GAWIO LA SHILINGI BILIONI 36.1 KWA SERIKALI

June 30, 2022
Abdul Sopu Apiga Hat-trick Michuano ASFC

Abdul Sopu Apiga Hat-trick Michuano ASFC

July 3, 2022
RADHANi NGODA ” MIMI NDIE MTANGAZAJI PEKEE WA FAINALI MAGOLI 6″

RADHANi NGODA ” MIMI NDIE MTANGAZAJI PEKEE WA FAINALI MAGOLI 6″

July 3, 2022
ALI KAMWE “MPIRA UNAHITAJI PESA”

ALI KAMWE “MPIRA UNAHITAJI PESA”

July 3, 2022
YANGA YACHUKUA UBINGWA MICHUANO YA AZAM

YANGA YACHUKUA UBINGWA MICHUANO YA AZAM

July 3, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In