ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Simba SC yakanusha uvumi wa Bernard Morrison

admin by admin
June 21, 2022
in SPORTS
Reading Time: 1 min read
A A
0
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Uongozi wa Simba SC umesema hauna taarifa zozote kuhusu Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison kuwasilisha ombi la kutaka Barua ya Kumuachia (Release Letter), ili kumpa nafasi ya kuendelea na Maisha yake ya soka nje ya klabu hiyo ya Mismbazi.

Mwezi uliopita, Morrison alipewa ruhusa ya mapumziko na Uongozi wa Simba SC hadi mwishoni mwa msimu huu, kwa madai ya kwenda kumaliza matatizo yake ya kifamilia nchini kwao Ghana.

Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Magungu amesema, hawana taarifa za mchezaji huyo kuwasilisha ombi la kutaka Barua ya Kuachiwa, na wanashangazwa kuona taarifa hizo zikisambaa kwa kasi kubwa katika Mitandao ya Kijamii.

Mangungu amesema Simba SC inafahamu bado Morrison ni mchezaji wao halali, na hakuna mahala popote ambapo klabu hiyo iliwahi kuthibitisha imeachana naye.

“Morrison bado ni mchezaji wa Simba SC, tunashangazwa kuona taarifa za kutuomba Barua ya Kumuachia (Release Letter), tulimpa ruhusa ya kwenda kwao kwa ajili ya matatizo ya kifamilia,”

“Mkataba na Morrison na Simba SC bado haujakwisha, anaendelea kupata stahiki zake kama mtumishi mwingine wa klabu hii, hatujawahi kutoa taarifa popote kwamba hatutaendelea naye, na hatuna taarifa zozote za yeye kuwa kwenye mpango wa kusajiliwa na klabu nyingine.” Amesema Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu.

Mapema leo Jumanne (Juni 21) asubuhi, Mwandishi na Mchambuzi wa Michezo kupitia kituo cha Radio Clouds FM Shaffih Dauda alinukuliwa akisema: “Bernard Morrison anaomba release letter kwa Simba, lakini Simba hawana presha wanataka mpaka mkataba wake utamatike kisha wamkabidhi barua

Inasemekana kuna muda aliwaambia kuna klabu ya nje inamtaka, Simba wakamwambia watume offer yao watapokea ofa na watampa release letter

Taarifa za kuaminika ni kuwa anataka kujiunga na Yanga, Simba wanafahamu hilo kwahiyo hawana tatizo zaidi ya kusubiri mwisho wa mkataba”

ADVERTISEMENT
Previous Post

Samaki mkubwa zaidi duniani wa maji baridi avuliwa Mekong

Next Post

Barbara “Simba SC Haijafeli Usajili, Tulieni Mtaona”

admin

admin

RelatedPosts

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

by ALFRED MTEWELE
January 27, 2023
0

Manchester United inaweza kutoa ofa ya pauni milioni 105 kwa mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen lakini uhamisho wa mshambuliaji huyo...

Read more
Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

January 26, 2023
EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

January 25, 2023
OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

January 24, 2023
Al Hilal ya Sudan  yatarajiwa kuja nchini kesho

Al Hilal ya Sudan yatarajiwa kuja nchini kesho

January 24, 2023
KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

January 24, 2023
Load More
Next Post
Barbara “Simba SC Haijafeli Usajili, Tulieni Mtaona”

Barbara "Simba SC Haijafeli Usajili, Tulieni Mtaona"

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

January 27, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

January 27, 2023
Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

January 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In