ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

BENKI YA NMB YAKUBALIANA NA SERIKALI YA ZANZIBAR KUSIMAMIA UTUNZAJI WA BUSTANI YA FORODHANI

admin by admin
June 23, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 2 mins read
A A
0
BENKI YA NMB YAKUBALIANA NA SERIKALI YA ZANZIBAR KUSIMAMIA UTUNZAJI WA BUSTANI YA FORODHANI
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Mkuu wa Biashara ya kadi NMB, Philbert Casmir akiongea kwenye mkutano huo kwenye hoteli ya Serena Inn mjini Zanzibar leo.

 

Mkuu wa wilaya ya Mjini Unguja, Rashid Simai Msaraka (katikati waliokaa) katika picha ya pamoja na maofisa wa Benki ya NMB baada ya mazungumzo na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Hoteli ya Serena Inn mjini Zanzibar.

 

 Benki ya NMB imefikia makubaliano na Serikali ya Zanzibar kutunza bustani ya Forodhani visiwani Zanzibar ikiwa ni moja ya juhudi zake za kuunga mkono azma ya uhifadhi wa mazingira visiwani humo na ajenda ya uchumi wa bluu.

Mradi huo wa utunzaji wa bustani ya Forodhani unalenga kuboresha mazingira ya kitalii na kuakisi vyema sifa maarufu ya eneo hilo, na utawezesha bustani hiyo kuvutia wageni wengi zaidi kila mwaka huku ukichangia kuchochea sekta ya utalii.

Akizungumza na waandishi wa habari visiwani Zanzibar jana wakati wa kutangaza Mashindano ya Mbio za Boti Zanzibar yanayodhaminiwa na Benki ya NMB na kutarajiwa kufanyika Jumamosi hii.

Mkuu wa Wilaya ya Mjini, Mhe. Rashid Simai Msaraka alisema benki hiyo imekuwa mshirika mzuri wa maendeleo wa serikali ya Zanzibar na imekuwa mstari wa mbele kusaidia mipango mbalimbali ya maendeleo visiwani humo.

Alibainisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais Hussein Mwinyi imekuwa ikiweka kipaumbele cha kufanya kazi kwa karibu na sekta binafsi na kuzitaka kampuni nyingi kuunga mkono mipango ya maendeleo ya serikali.

“Tumefanya kazi kwa karibu sana na Benki ya NMB katika miaka ya nyuma na nimedhihirisha na kutangaza kuwa tayari tumefikia makubaliano nao ya kuendeleza na kutunza bustani za Forodhani hapa Zanzibar,” Msaraka alisema.

Alibainisha kuwa pamoja na kuboresha mandhari ya eneo hilo, mradi huo utaleta manufaa makubwa na kusema, wakandarasi wazawa watazingatiwa huku akionyesha matumaini kuwa mradi huo utasaidia kuboresha sura ya Zanzibar.

Mkuu wa Kitengo cha Biashara ya Kadi wa NMB, Philbert Casmir wakati wa hafla hiyo alisisitiza dhamira ya benki hiyo katika kusaidia ushirikishwaji wa fedha na kuongeza kuwa benki hiyo itaendelea kutoa bidhaa zinazokidhi matakwa ya wateja.

Alisema mipango ya benki hiyo ni kuendelea kupeleka huduma karibu na wateja huku akiongeza kuwa benki hiyo ina mpango wa kupeleka huduma kwenye maeneo ya Wete, Nungwi, Mkoani, Uwanja wa ndege miongoni mwa maeneo mengine visiwani humo.

Aidha, alisema kama sehemu ya dhamira ya benki yake kusaidia ushirikishwaji wa kifedha, Jumamosi hii itazindua Kampeni ya ‘Teleza Kidigitali’ visiwani humo inayotoa huduma za kibenki bila mafadhaiko na suluhu mbalimbali za kibenki za kielektroniki.

“Baada ya uzinduzi wenye mafanikio wa kampeni yetu ya ‘Teleza Kidigitali’ katika mikoa mingi nchini Tanzania, sasa ni zamu ya Zanzibar. Tumejipanga vizuri na kila kitu kipo tayari kwa uzinduzi wa Zanzibar Jumamosi hii hivyo watu wa Zanzibar wajiandae kupata uzoefu wa kipekee wa huduma za kibenki za kisasa,” alisema.

Katika hatua nyingine, Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni ya bima ya Britam Insurance wamedhamini mbio za boti za Zanzibar za mwaka huu.

Kampuni hizo mbili zitatoa zawadi kwa washindi zinazofikia shilingi milioni sita na laki tano na zitatoa kifurushi cha bima ya ajali kwa washiriki wote kwa kipindi cha mwaka mmoja.

 

ADVERTISEMENT
Previous Post

NMB YAZINDUA KIFURUSHI MAALUM KWAAJILI YA WALIMU

Next Post

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

admin

admin

RelatedPosts

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta
Uncategorized

Pesapal Yaja na suluhisho la kisasa kusimamia uendeshaji wa vituo vya mafuta

by iamkrantz
January 25, 2023
0

Mfanyakazi was Lake oil akimgudumia mteja.kampuni ya Pesapal imezindua suluhisho inayowawezesha wamiliki wa vituo vya mafuta kuweza kufuatilia na kusimamia...

Read more
Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

Waziri Dkt. Gwajima katika ofisi zao za Makao Makuu jijini Dar es Salaam.

January 25, 2023
MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

MSHINDI WA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA ZAWADI YA PIKIPIKI MKOANI TABORA

January 23, 2023
NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

NMB YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA VITUO VYA AFYA MKONOO, LEVOLOSI MKOANI ARUSHA

January 23, 2023
Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

Benki ya NMB yaingia makubaliano na Serikali ya Zanzibar uhifadhi bustani ya Forodhani

January 23, 2023
NMB YAZIDI KUMWAGA  ZAWADI ZA #MASTABATA

NMB YAZIDI KUMWAGA ZAWADI ZA #MASTABATA

January 6, 2023
Load More
Next Post
CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

CRDB BANK PAMOJA BONANZA ILIVYOFANA JIJINI DODOMA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

Rais Samia Asisitiza Uwezeshwaji wa Vijana katika Umiliki wa Ardhi

January 27, 2023
MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

MAN ‘U’ YAWANIA SAINI YA VICTOR OSIMHEN

January 27, 2023
Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

Mwili wa Nemes, Aliyekufa Vitani Ukraine Wawasili Tanzania

January 27, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In