Mwanamasumbwi wa ngumi za kulipwa nchini Tanzania Mfaume Mfaume kupitia pambano lake lililoandaliwa THE RETURN OF NACCOZ KING dhidi ya mpinzani wake bondia mwenye Record nzuri kutokea Misri Abdulmonem Said Yaliofanyika Julai 1. 2022, aweza kujinyanyulia ushindi mkanda wa WBO kwa kumpiga ndani ya ROUND 2 tu baada ya Abdulmonem kuonyesha kushindwa kustahimili mikikimikiki kutoka kwa Mfaume.
Mtu huyu atakusaidia kupata utajiri kupitia ubashiri soka
Jina langu ni Hussein kutoka Tanga, Tanzania, baada ya kubashiri kwa miaka mingi katika soka na kila wakati kupata ushindi...
Read more