Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam RC Amos Makalla ameeleza yakuwa baada ya Soko la Kariakoo pamoja na masoko mengine kukamilika au kuleta mazingila wezeshi ya uendeshaji biashara, serikali itaruhusu biashara kufanywa masaa 24. Hio ni kutokana na maeneo mengi ya biashara kutokua na miundombinu inzyokizi huduma ziweze fanyika muda mwingi.
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
Kupitia maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa STAMICO, Makamu wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa...
Read more