Timu ya Taifa la Tanzania, Taifa Stars katika kujiweka sawa kuelekea michuano ya CHAN msimu huu wameamua kuanza na mchezo wa kirafiki dhidi ya Sudan ya Kusini hii leo ili kuimarika kwa ajili ya michezo ijayo.
MERIDIAN BET YAGUSA MAMA NTILIE
WAUZAJI wa vyakula maeneo ya Manzese na Kariakoo jijini Dar es Salaam leo wamepewatiwa msaada wa Aprons , ili ziweze kuwwasaidia...
Read more