Mchezaji mahiri nafasi ya Golikipa Aishi Manula (Air Manula) anayedakia Klabu ya Simba SC ameongeza mkataba wake wa miaka mitatu unaomfanya aendelee kusalia na kuitumikia timu hio hadi mwaka 2025. Hadi kufikia muda huo atakuwa ameitumikia klabu hio kwa takribani misimu 7.
HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC
Haji Manara aitolea uvivu Bodi ya Ligi kuu ya NBC Tanzania bara (TPLB) kuhusu takwimu za Golikipa wa Simba SC,...
Read more