ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 11, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

WAZIRI MBARAWA AWATAKA WAKANDARASI NA WAZABUNI KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEZESHAJI KUTOKA BENKI YA CRDB

admin by admin
July 21, 2022
in BUSINESS NEWS, NEWS, Uncategorized
Reading Time: 6 mins read
A A
0
WAZIRI MBARAWA AWATAKA WAKANDARASI NA WAZABUNI KUCHANGAMKIA FURSA ZA UWEZESHAJI KUTOKA BENKI YA CRDB
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amewataka wakandarasi na wazabuni nchini kutumia fursa za uwezeshaji zinazotolewa na Benki ya CRDB ili kuongeza ufanisi katika kazi zao, na kuwajengea uwezo wa kushiriki kikamilifu katika miradi ya kimkakati nchini.

Prof. Mbalawa alisema hayo wakati akifungua Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni lililoandaliwa na Benki ya CRDB katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam. Mheshimiwa Waziri alisema fursa hizo zitasaidia kupunguza changamoto za ucheleweshwaji wa miradi mbalimbali kwasababu ya kukosekana kwa mtaji.

“Benki ya CRDB imewaletea fursa mlangoni, itumieni kupata mitaji nafuu kujijengea uwezo utakaowawezesha kushiriki kikamilifu katika miradi,” alisema Prof. Mbarawa huku akibainisha kuwa uwezeshaji huu unaofanywa na Benki ya CRDB utasidia kutimiza azma ya Serikali ya kuhakikisha wakandarasi wazawa wanashiriki katika miradi (local content).

Prof. Mbalawa alipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa mstari wa mbele katika kuunga mkono juhudi za Serikali katika miradi ya ujenzi wa miondombinu mbalimbali nchini ambayo itasadia kuchochea ukuaji wa uchumi. “Tunatambua na kuthamini sana ushikiri wa Benki ya CRDB katika utekelezaji wa miradi ya kimkakati nchini, asanteni na hongereni sana,” alisema.

Prof. Mbalawa aliishauri Benki ya CRDB kupunguza riba katika mikopo ya wakandarasi kama ambavyo imekuwa ikifanya kwa sekta nyengine ikiwamo ya kilimo ili kuwajengea uwezo wakandarasi na kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika miradi inayotekelezwa na Serikali.

“Tunawapongeza kwa mikopo hii isiyo na dhamana na maboresho mengine mliyofanya, lakini niwaombe mpunguze riba ili kutoa unafuu zaidi. Vilevile, nitoe rai kwa Wakandarasi kurejesha mikopo kwa wakati kama ilivyo katika makubaliano,” aliongezea Prof. Mbalawa huku akiishauri Benki ya CRDB kuisaidia Serikali kutoa mafunzo ya usimamizi wa miradi kwa Wakandarasi na Wazabuni.

Aidha, Prof. Mbarawa alipongeza uamuzi wa Benki ya CRDB kufungua kampuni tanzu katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) akisema uamuzi huo utasaidia kufungua fursa nyingi kwa wafanyabiashara nchini ikiwamo wakandarasi na wazabuni.

“Congo kuna uhitaji mkubwa wa miundombinu ya barabara na nchi zetu zimekuwa katika mazungumzo ya namna gani tunaweza kusaidia katika kuboresha eneo hili hasa ukizingatia biashara baina ya nchi zetu inaendelea kukua”, alisema Prof. Mbalawa huku akihitimisha kwa kuipongeza Benki hiyo kwa kutunikiwa tuzo ya Benki Bora Tanzania na jarida la Euromoney la nchini Uingereza.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alimhakikishia Prof. Mbalawa kuwa Benki ya CRDB kupitia kauli mbiu yake ya “Tupo Tayari” imejipanga vilivyo katika kuhakikisha inashirikiana na Serikali kuboresha miundombinu nchini ili kufungua fursa za kiuchumi na kuvutia wawekezaji.

Nsekela alisema Benki ya CRDB imefanya maboresho katika huduma zake inazotoa kwa kundi hilo ambapo hivi sasa wakandarasi wakubwa na wadogo watawezeshwa kupata huduma za mikopo bila dhamana yoyote. Alisema baadhi ya huduma zilizofanyiwa maboresho ni pamoja na dhamana ya zabuni “Bid bond”, dhamana za utekelezaji wa miradi “Performance Guarantee”, dhamana za malipo ya awali “Advance Payment Guarantee”, pamoja na huduma za mikopo ya mitambo.

Nsekela aliongezea kuwa Benki hiyo pia imeboresha taratibu zake za utoaji mikopo na hivyo kuwasihi Wakandarasi kujitokeza kwa wingi kuomba mikopo, kufungua akaunti, pamoja na kujiunga na huduma za bima ili kujikinga na majanga yanayoweza kutokea. “Benki ya CRDB ni Benki yenu, niwahakikishie tu sisi Tupo Tayari kuwahudumia,” alihitimisha Nsekela.

Akizungumza kwa niaba ya wakandarasi na wazabuni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ukandarasi ya Gopa Contractors Tanzania Ltd, Godfrey Mogellah aliipongeza Benki ya CRDB kwa hatua hiyo ya kuwakutanisha wadau wa sekta ya ujenzi nchini huku akieleza fursa zinazotolewa na Benki ya CRDB zitakwenda kuleta sura mpya katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu nchini.

 Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa akizungumza katika Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni nchini lililoandaliwa na Benki ya CRDB leo tarehe 21 Julai 2022 katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.

Afisa Mkuu wa Biashara Benki ya CRDB, Boma Raballa akizungumza katika Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni nchini lililoandaliwa na Benki ya CRDB leo tarehe 21 Julai 2022 katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Kingo cha Biashara wa Benki ya CRDB, Toyi Ruvumbagu akizungumza katika Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni nchini lililoandaliwa na Benki ya CRDB leo tarehe 21 Julai 2022 katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam

Sehemu ya wakandarasi na wazabuni waliohudhuria Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni nchini lililoandaliwa na Benki ya CRDB wakifatilia mada mbalimbali leo tarehe 21 Julai 2022 katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wapili kulia), Afisa Mkuu wa Fedha Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo (kulia), Afisa Mkuu wa Biashara Benki ya CRDB, Boma Raballa (wapili kushoto), na Afisa Mkuu wa Uendeshaji Benki ya CRDB, Bruce Mwile, wakiwa pamoja na baadhi ya wakandarasi na wazabuni waliohudhuria Kongamano la Uwezeshaji kwa Wakandarasi na Wazabuni nchini lililoandaliwa na Benki ya CRDB leo tarehe 21 Julai 2022 katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.

ADVERTISEMENT
Previous Post

TFF YAMFUNGIA MSEMAJI MKUU WA YANGA MIAKA 2

Next Post

Mpenzi wangu kaniambukiza Kaswende kama adhabu ya kumsaliti!

admin

admin

RelatedPosts

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

by ALFRED MTEWELE
August 11, 2022
0

Naibu Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) Taaluma, Utafiti na Ushauri Dkt. Michael Msendekwa amesema dhumuni kubwa la...

Read more
Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

August 11, 2022
Majaliwa Aunga Mkono Huduma za Kibenki Tawi la NBC

Majaliwa Aunga Mkono Huduma za Kibenki Tawi la NBC

August 11, 2022
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

August 10, 2022
Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

August 10, 2022
Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

August 10, 2022
Load More
Next Post
Mpenzi wangu kaniambukiza Kaswende kama adhabu ya kumsaliti!

Mpenzi wangu kaniambukiza Kaswende kama adhabu ya kumsaliti!

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

August 5, 2022
SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

August 5, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

August 11, 2022
Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

August 11, 2022
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

August 11, 2022
Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

August 11, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In