Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC yaja na suala la kufanya maboresho ya Soko huru ambalo hadi sasa linatimiza miaka 10 tangu lipoanzishwa, imehusisha viongozi wote wa jumuiya hivyo kama wanachama wameona umuhimu wa soko hilo na kufanya maamuzi ya kuboresha miundombinu ili kurahisisha uzalishaji na uchukuzi wa mazao na bidhaa kutoka sehemu tofauti za nchi zilizojiunga katika jumuiya hio. Taasisi za kibenki kama Benki ya Afrika na uwezeshaji wa kifedha kutoka kwa Serikali ya Japani vitasaidia kufanikisha uboreshaji wa soko hilo.
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA
Naibu Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) Taaluma, Utafiti na Ushauri Dkt. Michael Msendekwa amesema dhumuni kubwa la...
Read more