Mwanasoka mahiri mwenye asili ya Bukinafaso aliyekuwa anakipiga mnamo klabu ya Al-Salt SC , Mohamed Quattara ajiunga rasmi na klabu ya Simba yenye makao yake Kariakoo nchini Tanzania ambayo kwa sasa ipo katika mapumziko huko nchini Ismailia nchini Misri kuhudumu nafasi ya beki katika michezo mbalimbali ikijumuisha michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao.
Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli
Klabu ya Yanga imeujuza umma leo mapema Agosti 12, 2022 kuhusu kuagana na aliyekuwa Afisa habari na Mawasiliano katika klabu...
Read more