Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanznia Mh. Samia Suluhu Hassan amedokeza kuhusu kuhamisha na kufanyia maboresho zaidi mnara wa kumbukizi za mashujaa walioipigania nchi hii kwa uzalendo ili kuweza kupisha zaezi zima la upanuzi wa maeneo ya jiji ili kutekeleza mpango mkakati wa nchi wa maendeleo endelevu, mnara huo umependekezwa kujengwa mahali pengine na utajengwa kwa hadhi zaidi.
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA
Naibu Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) Taaluma, Utafiti na Ushauri Dkt. Michael Msendekwa amesema dhumuni kubwa la...
Read more