Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amemteuwa Mh. Caroline Chipeta aliyekuwa Mwanasheria Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi Afrika Mashariki kuwa balozi kuliwakilisha taifa la Tanzania nchini Uholanzi leo hii.
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA
Naibu Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) Taaluma, Utafiti na Ushauri Dkt. Michael Msendekwa amesema dhumuni kubwa la...
Read more