Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amemteuwa Mh. Caroline Chipeta aliyekuwa Mwanasheria Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi Afrika Mashariki kuwa balozi kuliwakilisha taifa la Tanzania nchini Uholanzi leo hii.
Wateja wa Precision Air kukata tiketi kupitia M-Pesa Super App.
Vodacom M-Pesa na Precision Air waemingia ushirikiano ambao utawawezesha wateja kukata tiketi ya ndege kupitia applikesheni ya M-Pesa Super...
Read more