Ikiwa zimesalia siku 4 kuelekea Riadha ifaamikayo kama NBC Dodoma Marathon iliyoandaliwa na Benki ya Taifa ya Biashara NBC, benki hio imeamuakuongeza kituo kwaajili ya kurahisisha wadau kujisajiri na kupata huduma zihusianazo na mbio hizo zitakazofanyika jijini Dodoma siku ya Jumapili Julai 31,2022 ikijumuisha umbali wa mbio tofauti ambazo ni kilometa 5K,10K,21K, na 42K ambapo washiriki watakaoshinda watajinyakulia fedha taslimu zilizotolewa kama zawadi na benki hio.
NBC Dodoma Marathon | Vituo 

Muda sio rafiki. Swali ni je umeshakamilisha usajili wako?
Kwa wakazi wa Dar tembelea vituo vifuatavyo:


Mtaa wa Azikiwe na Sokoine



Karibu na tawi la NBC

Kwa wakazi wa Dodoma tembelea vituo vifuatavyo:


Karibu na ofisi za TRA
Mtaa wa Kuu


Mtaa wa Medeli
