Kampuni ya michezo ya bahati nasibu, SportPesa imesalia kuwa mdhamini mkuu wa klabu ya Young Africans SC kwa kuongeza mkataba wenye thamani ya bilioni 12 na klabu hio huku klabu ya Simba SC yaingia makubaliano na mdhamini mpya M-Bet.
SIMBA SC YAITEMBELEA MAHABUSU YA WATOTO, UPANGA
Msemaji mkuu wa Klabu ya Simba Ahmed Ally akabidhi zawadi kwa mwakilishi kutoka kituo cha mahabusu ya watoto kilichopo Upanga...
Read more