Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa aeleza ya kuwa uzuiaji wa Malori kutoendelea na taratibu za usafilishaji hukwamisha sana shughuli na maendeleo ya kiuchumi ukizingatia aina ya magari hayo yanamchango mkubwa katika kukuza uchumi wa taifa kiujumla kwani yametoa ujira kwa watu mbalimbali ambao wanajipatia kipato na kuipatia serikali mapato, hivyo akasema ” kuzuia malori kutofanya Safari zake ni Kuhujumu uchumi” kwa sababu inakwamisha ukuaji wa uchumi kwa kiasi kikukwa.
Mke asimulia kwa uchungu Karaha alizopata kwenye Ndoa yake..SOMA KISA KIZIMA HAPA
Mume alikuwa anakula Tunda mara moja kwa wiki ila sasa ni kila siku jamani! Jina langu ni Anna, tulifunga ndoa...
Read more