ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Saturday, August 13, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    Rais Samia Akamilisha Ziara yake Mkoani Njombe

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Benki Ya NMB Yaendelea Kuwa Kinara Wa Ufanisi Nchini Tanzania

admin by admin
July 29, 2022
in Uncategorized
Reading Time: 3 mins read
A A
0
Benki Ya NMB Yaendelea Kuwa Kinara Wa Ufanisi Nchini Tanzania
0
SHARES
4
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB – Ruth Zaipuna

 
Kwa Ufupi:

Benki ya NMB yaendelea kuwa kinara wa ufanisi nchini Tanzania. Faida ya benki kabla ya kodi yafikia TZS bilioni 298, sawa na ongezeko la asilimia 54.

· Faida baada ya kodi: TZS bilioni 208 – ongezeko la asilimia 53 kwa mwaka

· Jumla ya Mapato ya benki: TZS bilioni 562- ongezeko la asilimia 21 kwa mwaka

· Jumla ya Mali: TZS Trilioni 9 – ongezeko la asilimia 19 kwa mwaka

_________________________________________________________________

Dar es Salaam. July 28, 2022- Benki ya NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022. Faida kabla ya kodi imeongezeka kwa asilimia 54 na kufikia Shilingi bilioni 298 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 193 ya kipindi kilichoishia June 2021. Faida baada ya kodi imeongezeka kwa asilimia 53 na kufikia Shilingi bilioni 208 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 135 ya kipindi kilichoishia June 2021. Faida hii inatokana na kuongezeka kwa ufanisi, kukua kwa mizania ya benki, ubora na umakini katika kusimamia mikopo, na kuongezeka kwa miamala ya wateja.

Mapato ya Benki yameongezeka kwa asilimia 21 hadi kufikia shilingi bilioni 562 katika kipindi kilichomalizikia mwezi Juni 2022 ikilinganishwa na shilingi bilioni 463 zilizopatikana kipindi kama hicho mwaka jana. Mapato haya yamechangiwa na ongezeko la mikopo kwa wateja na uwekezaji kwenye hati fungani za Serikali, pamoja na ongezeko la miamala ya kibenki.

Benki imeendelea kuimarisha ufanisi kwenye gharama za uendeshaji, ulioshuhudia uwiano wa gharama za uendeshaji na mapato ukishuka mpaka asilimia 42 kutoka asilimia 47 katika kipindi kama hichi mwaka uliopita. Benki imeendelea kutilia mkazo uimarishaji wa ufanisi huku ikiboresha uwekezaji katika teknolojia na vipao mbele vya kimkakati vyenye lengo la kuongeza ubora wa huduma za kibenki.

Katika kipindi hiki cha nusu ya mwaka 2022, ubora wa mali za NMB uliimarika kutokana na mikakati thabiti ya kuimarisha mikopo ya benki. Uwiano wa mikopo chechefu umeimarika hadi asilimia 3.8 kutoka asilimia 4.3 katika kipindi kama hiki mwaka uliopita, ikiwa ndani ya kiwango cha juu cha asilimia 5 kilichowekwa na Benki Kuu ya Tanzania.

Katika kipindi hiki cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022, Mizania ya Benki iliongezeka kwa asilimia 19 na kufikia Shilingi Trilioni 9, ukilinganisha na Shilingi Trilioni 7.6 kutokana na kuongezeka kwa wateja, ikiashiria ubora na mahusiano mazuri ya benki na wateja wake.

Akizungumzia mafanikio haya makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022, Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna amesema: “Tunajivunia na kushukuru kwa ufanisi na uimara wa benki yetu ya NMB. Mafanikio haya makubwa ya nusu ya mwaka 2022 ni kielelezo cha ufanisi mzuri uliotokana na utekelezeji makini wa mikakati yetu. Tunayo furaha kuona benki ikiendelea kupata matokeo mazuri na endelevu ya kiutendaji yenye kuleta tija kwa wanahisa wetu, wateja wetu, na wadau wote wa Benki ya NMB.”

Aliongeza kwa kusema kuwa: “Tutaendelea kuimarisha na kujikita katika misingi yetu imara, pamoja na kutilia mkazo uwekezaji katika teknolojia, pamoja na uboreshaji wa huduma zetu ili kuhakikisha benki inaendelea kupata mafanikio endelevu zaidi na yenye kuleta maendeleo chanya kwa Taifa.”

Aidha, Bi Ruth alimalizia kwa kusema, ‘Tunawashukuru wateja wetu, wafanyakazi, wawekezaji, na wadau wote nchini Tanzania, kwa mchango wao mkubwa katika mafanikio haya ya Benki ya NMB.”

Tags: NMB
ADVERTISEMENT
Previous Post

BAADHI YA WASHIRIKI WA NBC DODOMA MARATHON WAKICHUKUA VIFURUSHI VYAO NA WENGINE KUFANYA USAJIRI

Next Post

SITASAHAU ;Nilikuwa natembea ndotoni hadi majirani wakaniita mchawi

admin

admin

RelatedPosts

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini
BUSINESS NEWS

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

by admin
August 10, 2022
0

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biasharawa NMB- Bw. Filbert Mponzi(katikati) akizungumza kwenye maonesho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mbeya....

Read more
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AIPONGEZA BENKI YA CRDB, AHITIMISHA MAONESHO YA NANENANE JIJINI MBEYA

August 9, 2022
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

NMB Mshiko Fasta kuwanufaisha wakulima

August 7, 2022
Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

Benki ya NMB yaahidi kuendelea kutoa mikopo kwa wawekezaji  sekta ya nishati nchini

August 5, 2022
Load More
Next Post
SITASAHAU ;Nilikuwa natembea ndotoni  hadi majirani wakaniita mchawi

SITASAHAU ;Nilikuwa natembea ndotoni hadi majirani wakaniita mchawi

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

August 12, 2022
BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

BIL.11 kupelekwa Mafinga kuboresha miundombinu ya Mji

August 12, 2022
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini

August 12, 2022
Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

Yanga yaagana na Afisa Habari wao, Hassan Bumbuli

August 12, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In