ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 18, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Waziri Nnauye Kupandisha Mawasiliano ya Intanenti Mlima Kilimanjaro

    Waziri Nnauye Kupandisha Mawasiliano ya Intanenti Mlima Kilimanjaro

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

    Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    HABARI ZA HIVI PUNDE: RAILA ODINGA APINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    BASHUNGWA”TAMISEMI NI MDAU MKUBWA WA TAKWIMU ZA SENSA”

    Waziri Nnauye Kupandisha Mawasiliano ya Intanenti Mlima Kilimanjaro

    Waziri Nnauye Kupandisha Mawasiliano ya Intanenti Mlima Kilimanjaro

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

DKT. MAGEMBE APONGEZA WANANCHI KUTOA MAENEO YA KUJENGA VITUO VYA AFYA

Mtwara, Tanzania

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
July 29, 2022
in Politics
Reading Time: 3 mins read
A A
0
DKT. MAGEMBE  APONGEZA WANANCHI KUTOA MAENEO YA KUJENGA VITUO VYA AFYA
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Naibu Katibu Mkuu Afya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Grace Magembe amewashukuru wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Newala kwa kutoa eneo lenye ekari 64 kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Nambunga pamoja na wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Masasi kwa kutoa eneo ekari 200 kwaajili ya ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri.
Vilevile amewapongeza kwa kutoa nguvu kazi katika uchimbaji wa msingi, usimamizi wa ujenzi, usombaji wa mchanga, mawe pamoja na maji akisisitiza kuwa kwa kiasi kikubwa ushiriki wao umepunguza gharama za utekelezaji wa miradi.
Hayo yamebainishwa baada ya Dkt. Magembe kupokea taarifa na kukagua ujenzi wa kituo cha afya nambunga kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya Newala na Hospitali ya Halmshauri ya Masasi tarehe 27 Julai 2022.
Dkt. Magembe amewakumbusha Wakurugenzi wa Halmashauri hizo zote kuhakikisha maeneo hayo yanapimwa na kupatiwa hati ili kuimarisha ulinzi na usalama wa majengo yanayojengwa sasa na hata baadae.
Katika ziara hiyo, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi aliahidi kuandaa mpango kazi wa haraka wa kazi zilizobaki katika ujenzi wa wodi ya watoto, wodi ya wanaume , wodi ya wanawake pamoja na jengo la wagonjwa wa dharula utakaoanisha kazi zilizobaki na mtekelezaji wa kazi hizo na kuwasilisha mpango kazi huo kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara.
Dr Magembe amemsisitiza Mkurugenzi kuhakikisha ifikapo tarehe 30 Septemba 2022 ujenzi wa wodi za watoto, wodi ya wanawake pamoja na wodi ya wanaume uwe umekamilika na ifikapo tarehe 15 Agosti 2022 ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharula uwe umekamilika.
Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Newala amesema ujenzi wa nyumba ya mtumishi, jengo la wagonjwa wa nje ( OPD) pamoja na jengo la maabara unaotekelezwa katika kituo cha afya Nambunga utakamilika ndani ya wiki mbili tokea tarehe ya leo.
May be an image of 5 people and people standing
May be an image of 9 people, child, people sitting, people standing and outdoors
Tags: OFISI YA RAIS TAMISEMI
ADVERTISEMENT
Previous Post

Betway Yaadhimisha Mwaka 1 Tanzania Bara Na Yazindua Jackoport ya Kihistoria

Next Post

YANGA YAFIKISHA WAFUATILIAJI 2M MTANDAO WA INSTAGRAM

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Rais Samia Ampongeza William Ruto Kushinda Nafasi ya Urais Kenya

Rais Samia Ampongeza William Ruto Kushinda Nafasi ya Urais Kenya

by ALFRED MTEWELE
August 16, 2022
0

Kupitia kuarasa za mitandao ya kijamii, Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amempongeza William Ruto kwa...

Read more
William Ruto ashinda Nafasi ya Urais Nchini Kenya

William Ruto ashinda Nafasi ya Urais Nchini Kenya

August 16, 2022
RAIS SAMIA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA UHAMIAJI KOZI NA.1/2022

RAIS SAMIA AFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA UHAMIAJI KOZI NA.1/2022

August 15, 2022
WAZIRI UMMY MWALIMU “HOSPITALI YA TAIFA YA MAMA NA MTOTO KUJENGWA DODOMA”

WAZIRI UMMY MWALIMU “HOSPITALI YA TAIFA YA MAMA NA MTOTO KUJENGWA DODOMA”

August 15, 2022
MAAGIZO 10 YA RAIS SAMIA KWA TAMISEMI NA TARURA

MAAGIZO 10 YA RAIS SAMIA KWA TAMISEMI NA TARURA

August 15, 2022
Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

Rais Samia Akiwa katika Ziara yake Mkoani Iringa 2022

August 12, 2022
Load More
Next Post
YANGA YAFIKISHA WAFUATILIAJI 2M MTANDAO WA INSTAGRAM

YANGA YAFIKISHA WAFUATILIAJI 2M MTANDAO WA INSTAGRAM

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

Yanga SC Yaweka Rekodi Mpya ya Mapato Kupitia Tamasha Lao 2022

August 10, 2022
AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI  TAMASHA LA AZAMKA 2022

AZAM FC YAWASHUKURU WASANII WALIOTOA BURUDANI KALI TAMASHA LA AZAMKA 2022

August 16, 2022
Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

Pesapal yapewa Leseni na Benki Kuu ya Tanzania kwa Utoaji Huduma Kwa Mfumo wa Kidigitali Zaidi

August 17, 2022
Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

Barnaba Kutoa Asilimia 18% ya Mauzo ya Album yake Kusaidi Watoto Njiti

August 17, 2022
Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 18.08.2022

August 18, 2022
Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

Japan yawataka Vijana wake kunywa Pombe zaidi ili kukuza Uchumi

August 18, 2022
Bi. Brenda Msangi  aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

Bi. Brenda Msangi aeleza juu ya Programu ya CCBRT ya “Mabinti Center” kwa Dkt. Bärbel Kofle pamoja na washirika

August 18, 2022
Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

Rais Samia aridhia Agosti 23 kuwa siku ya mapumziko

August 18, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In