Kampuni ya KFC Fast Food ilioanzishwa nchini Marekani imeongeza miguu ya kuku kuwa menu mpya katika menu ya China hiyo ni kutokana na Wachina hupendelea aina ya chakula hicho pia kutikana na mfumuko wa bei ya mafuta na chakula imepelekea Kampuni hio kuona umuhimu wa kutumia vizuri viungo vyote vya kuku kwa kujumuisha miguu ya kuku ambayo awali ilikuwa haizingatiwi katika menu ya hapo awali.
Vodacom Tanzania yawajengea uwezo wa Tehama Wanafunzi wa kike jijini Dodoma
Meneja Mauzo wa Vodacom Kanda ya Kati, Athumani Ngoma (kulia) akimkabidhi zawadi ya begi mwanafunzi, Christina Kaguge wa shule ya...
Read more