ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Tuesday, February 7, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

    TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

    TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

    TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

    MASHAMBA YA BANGI ZAIDI YA HEKTA 6 YATEKETEZWA KWA MOTO, GEITA

    MASHAMBA YA BANGI ZAIDI YA HEKTA 6 YATEKETEZWA KWA MOTO, GEITA

    MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA

    MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA

    Idadi ya Waliofariki katika Tetemeko kubwa la Ardhi Uturuki yafikia Zaidi ya Watu 300

    Idadi ya Waliofariki katika Tetemeko kubwa la Ardhi Uturuki yafikia Zaidi ya Watu 300

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

    TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

    TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

    TIGO KWENDA KUMKABIDHI GARI MSHINDI WA NDINGA LA KISHUA

    MASHAMBA YA BANGI ZAIDI YA HEKTA 6 YATEKETEZWA KWA MOTO, GEITA

    MASHAMBA YA BANGI ZAIDI YA HEKTA 6 YATEKETEZWA KWA MOTO, GEITA

    MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA

    MBUNGE ATAKA KAMPUNI ZA MAWASILIANO ZIFIDIE WATEJA

    Idadi ya Waliofariki katika Tetemeko kubwa la Ardhi Uturuki yafikia Zaidi ya Watu 300

    Idadi ya Waliofariki katika Tetemeko kubwa la Ardhi Uturuki yafikia Zaidi ya Watu 300

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tetesi Za Soka Ulaya Jumanne 02.08.2022

Barani Ulaya

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
August 2, 2022
in SPORTS
Reading Time: 5 mins read
A A
0
Tetesi Za Soka Ulaya Jumanne 02.08.2022
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Harry Maguire ni beki wa Manchester United

Manchester United wanatazamia kuwauza mabeki sita kabla ya dirisha la usajili kukamilika mwezi huu (Mail)

 Leicester City wameiambia Newcastle United kwamba watahitaji kulipa pauni milioni 60 ikiwa watamsajili kiungo wa kati wa Uingereza James Maddison, 25. (Football Insider)

Kipa na nahodha wa Leicester Kasper Schmeichel, 35, anakaribia kujiunga na Nice ya Ufaransa na atafanyiwa vipimo vya afya wiki hii, na hivyo kuhitimisha miaka 11 ya kukaa na Foxes.. (Mail)

Werner

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Timo Werner

RB Leipzig wanaongoza katika kinyang’anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na Ujerumani Timo Werner, 26, mbele ya Juventus.

Klabu hiyo ya Stamford Bridge ina beki wa Leipzig na Croatia Josko Gvardiol, 20, juu ya orodha yao ya uhamisho na wanaweza kuomba makubaliano ya kubadilishana. (Fabrizio Romano)

 Red Bull Salzburg wako tayari kutoa ofa zaidi ya £45m kwa fowadi wa Slovenia Benjamin Sesko, 19, ambaye  analengwa na Manchester United, Chelsea na Newcastle. (i Sport)

Malang Sarr

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Malang Sarr

Chelsea wamezuia uhamisho wa Fulham kumnunua beki Mfaransa Malang Sarr, 23. The Cottagers pia wamewasilisha ombi la kumnunua beki wa kati wa West Ham Mfaransa Issa Diop, 25. (Standard)

Napoli wapo kwenye mazungumzo na Chelsea kuhusu kumsajili kwa mkopo kipa wa Uhispania Kepa Arrizabalaga, 27.. (Sky Sports)

Chelsea wanakaribia kukamilisha usajili wa mlinda mlango Mmarekani Gabriel Slonina, 18, kutoka Chicago Fire, ambapo atasalia kwa mkopo hadi Januari. (Fabrizio Romano)

Batshuayi

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Batshuayi The Blues wamempeana beki wa kati wa Uingereza Levi Colwill, 19, kama sehemu ya mkataba wa mchezaji na pesa taslimu kwa beki wa kushoto wa Brighton na Uhispania Marc Cucurella, 24. (Standard)

Mshambulizi wa Chelsea na Ubelgiji Michy Batshuayi, 28, yuko tayari kuhamia Everton msimu huu wa joto. (Talksport)

Beki wa United na Ivory Coast Eric Bailly, 28, amekataa kuungana tena na Jose Mourinho katika klabu ya Roma akipendelea kuhamia Sevilla.. (Sun)

Eric Bailey

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Mlinda mlango wa Arsenal na Ujerumani Bernd Leno, 30, anatazamiwa kujiunga na Fulham baada ya vilabu hivyo kukubaliana juu ya mkataba wa £8m na masharti ya kibinafsi kutatuliwa. (Guardian)

Fulham na Bournemouth wanataka kumsajili beki wa kati wa Liverpool Nat Phillips, 25, lakini Reds wanataka zaidi ya £10m kwa Muingereza huyo. (Goal)

Mshambulizi wa Arsenal Folarin Balogun, 21, anakaribia kujiunga na klabu ya Ufaransa ya Reims kwa mkataba wa mkopo wa msimu mzima. (Mail)

Mshambulizi wa zamani wa Manchester United na Arsenal Alexis Sanchez amekatiza kandarasi yake ya Inter Milan na kuwa mchezaji huru, huku Marseille wakitaka kumsajili mchezaji huyo wa Chile mwenye umri wa miaka 33.. (Sky Sports)

Source: BBC SWAHILI

Tags: BARANI ULAYA
ADVERTISEMENT
Previous Post

Zawadi za Sh. Milioni 100 kushindaniwa CRDB Bank Marathon

Next Post

SIMBA SC KUTEMBELEA NYUMBA YA WAZEE KIGAMBONI

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

by ALFRED MTEWELE
February 7, 2023
0

Haji Manara aitolea uvivu Bodi ya Ligi kuu ya NBC Tanzania bara (TPLB) kuhusu takwimu za Golikipa wa Simba SC,...

Read more
NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

NEYMAR ASHINDA SAMBA D’OR, BRAZIL

February 7, 2023
Benki ya NMB Yakabidhi Tiketi kwa Viongozi 12 Kwenda Rwanda na Kurudi

NMB yafadhili ziara ya mafunzo Machinga, Bodaboda Dar nchini Rwanda

February 3, 2023
Kocha Robertinho: “Tunategemea Kupanga Kikosi Kamili”

Kocha Robertinho: “Tunategemea Kupanga Kikosi Kamili”

February 2, 2023
BRUNO GOMEZ, PLUIJM WAIBUKA BORA MWEZI JANUARI, LIGI KUU

BRUNO GOMEZ, PLUIJM WAIBUKA BORA MWEZI JANUARI, LIGI KUU

February 1, 2023
SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

February 1, 2023
Load More
Next Post
SIMBA SC KUTEMBELEA NYUMBA YA WAZEE KIGAMBONI

SIMBA SC KUTEMBELEA NYUMBA YA WAZEE KIGAMBONI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

February 6, 2023
Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

Simba SC yaibuka Kinara Mechi ya Kwanza Dhidi ya Geita Gold FC Ligi Kuu ya NBC 2022/2023

August 18, 2022
SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

SPORTPESA YANG’AKA YANGA KUKIUKA MAKUBALIANO, KISA MDHAMINI MPYA CAF

February 1, 2023
Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

Bilioni 213 za Miradi ya DMDP Zaistawisha Temeke

February 2, 2023
HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC

February 7, 2023
DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

DAYOO AFUNGUKA KWANINI ANASEMA “NAITWA MANGI…”

February 7, 2023
TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

TANZANIA, UAE ZASAINI KUHIFADHI MAZINGIRA

February 7, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumatatu Februari 6,2023

Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti ya Leo Jumanne Februari 7,2023

February 7, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In