ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Thursday, August 11, 2022
  • Login
BONGOSWAGGZ
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

    Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Zawadi za Sh. Milioni 100 kushindaniwa CRDB Bank Marathon

admin by admin
August 2, 2022
in NEWS, Uncategorized
Reading Time: 8 mins read
A A
0
Zawadi za Sh. Milioni 100 kushindaniwa CRDB Bank Marathon
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

OTMI9605_1 

Ikiwa zimebaki siku 12 kuelekea msimu wa tatu wa CRDB Bank Marathon tarehe 14 Agosti 2022, imeelezwa kuwa jumla ya zawadi za shilingi milioni 100 zitashindaniwa katika mbio hizo zinazotarajiwa kushirikisha wakimbiaji zaidi ya 6,000.

Taarifa hiyo imetolewa leo katika hafla fupi iliyokutanisha wadau na washirika wa CRDB Bank Marathon iliyofanyika katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es Salaam.

OTMI9484

Akizungumza katika hafla hiyo, Nsekela amesema katika mbio za mwaka huu Benki hiyo imefanya maboresho makubwa katika zawadi ili kuongeza ushindani miongoni mwa washiriki, lakini pia kuendana na hadhi ya kimataifa ambayo mbio hizo ilipata mwaka jana.

“Katika mbio ndefu za 42.2km, washindi wa kwanza kwa upande wa wanaume na wanawake watapata shilingi milioni 10 kila mmoja. Washindi hawa pia watapata zawaidi ya kulala usiku mmoja hapa Johari Rotana, pamoja na vocha za zawadi katika duka la Justfit,” alieleza.

OTMI9246

Akitoa majumuisho ya zawadi hizo, Mkurugenzi wa Mawasiliano Benki ya CRDB, Tully Mwambapa alisema kuwa katika mbio hizo ikiwamo 21.1km, 10km, 5km, na baiskeli 65km washindi 6 wa kwanza watapewa zawadi za fedha taslimu.

Tully aliongezea pia kutakuwa na zawadi kwa makundi maalamu ya wazee, watoto, na wakimbiaji waliovaa kipekee. “Jumla ya zawadi hizi zote zitakazotolewa kwa washindi ni shilingi milioni 100,” alisema Tully.

OTMI9467

Katika hafla hiyo, Benki ya CRDB pia ilitambulisha vifaa vitakavyotumika katika msimu wa tatu wa CRDB Bank Marathon ikiwamo medali, fulana, kofia, bib, pamoja na mfuko wa kuwekea vifaa (back-pack), ambazo washiriki wa mbio hizo watapewa.

Kwa upande wa usajili, Nsekela alisema mpaka sasa tayari watu zaidi ya 4,200 tayari wameshajisajili kushiriki mbio hizo. Nsekela alibainisha kuwa kati yao 801 ni wakimbiaji kutoka nje ya nchi, na kutoa rai kwa Watanzania kuchangamkia nafasi zilizobaki.

“Niwashukuru wale wote waliojisajili katika mbio hizi. Kwa wale ambao bado niwasihi kutembelea tovuti yetu ya www.crdbbankmarathon.co.tz kujisajili, mtu binafsi atachangia shilingi 40,000 na washiriki kupitia vikundi ni shilingi 30,000,” alisema.

OTMI9296

Aliongezea: “Katika siku hizi chache zilizobaki tungependa zaidi kuona Watanzania wengi wakijitokeza kujisajili na kushiriki kwa wingi kwani hii ni marathon yetu na tungependa pia kuona zawadi hizi zikibaki nyumbani.”

Aidha Nsekela alitumia fursa hiyo kumshukuru Makamu, Dkt. Philip Mpango kwa kukubali kuwa mgeni rasmi kati mbio hizo. Aliongezea kuwa viongozi mbalimbali tayari wameshajisajili kushiriki ikiwamo Waziri wa Michezo, Mohamed Mchengerwa.

Viongozi wengine waliojisajili kushiriki ni Pamoja na Naibu Waziri wa Michezo, Pauline Gekule, Naibu Spika, Mussa Zungu, Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa,  Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, na Kati Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.

OTMI9330

Akiongea kwa niaba ya washirika wa CRDB Bank Marathon, Mkurugenzi wa Mkuu wa Sanlam, Julius Magabe alisema kampuni yao inajivunia kuwa washirika wa CRDB Bank Marathon kutokana na mbio hizo kujikita zaidi katika kuhamasisha watu kusaidia jamii.

“Tunaishukuru Benki ya CRDB kwa kuandaa mbio hizi zinazowaleta Watanzania kushiriki katika kutatua changamoto katika jamii. Sanlam ni kampuni ambayo inajali afya na mazingira ya watu wake hivyo tunakila sababu ya sisi kushiriki katika mbio hizi,” alisema Magabe.

OTMI9543

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi aliishukuru Benki ya CRDB kwa kuandaa mbio hizo ambazo zinalenga kukusanya shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kusaidia gharama za matibabu kwa wakinamama wenye ujauzito hatarishi katika hospitali ya CCBRT, na upasuaji kwa watoto wenye matatizo ya moyo JKCI.

OTMI9504

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Jakaya Kikwete Prof. Mohamed Janabi akitoa shukrani kwa Benki ya CRDB kwa kuandaa mbio hizo ambazo zinazolenga kukusanya shilingi bilioni 1 kwa ajili ya kusaidia gharama za matibabu kwa wakinamama wenye ujauzito hatarishi katika hospitali ya CCBRT, na upasuaji kwa watoto wenye matatizo ya moyo JKCI.

OTMI9579

 

OTMI9531
OTMI9632

 

OTMI9639

 

OTMI9644_1

 

OTMI9653
ADVERTISEMENT
Previous Post

RAIS SAMIA AWAAPISHA VIONGOZI WATEULE

Next Post

Tetesi Za Soka Ulaya Jumanne 02.08.2022

admin

admin

RelatedPosts

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

by ALFRED MTEWELE
August 11, 2022
0

Naibu Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) Taaluma, Utafiti na Ushauri Dkt. Michael Msendekwa amesema dhumuni kubwa la...

Read more
Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

Serikali yatenga Bilioni 11.3/- kuweka lami na viwanda vidogo Njombe Mji

August 11, 2022
NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

NMB yaahidi kuendeleza kunufaisha sekta ya kilimo nchini

August 10, 2022
Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

Air Tanzania yaitakia Kenya Uchaguzi wa Amani

August 10, 2022
Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

Rais Samia Awataka Wafanyakazi Hospitali Kuongeza Bidii Kuokoa Maisha ya Watu

August 10, 2022
Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

Hii ndio tiba ya kuondoa mikosi maishani yenye uhakika zaidi

August 9, 2022
Load More
Next Post
Tetesi Za Soka Ulaya Jumanne 02.08.2022

Tetesi Za Soka Ulaya Jumanne 02.08.2022

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

Mainstream Media Limited Waendesha Mafunzo Maalumu kwa Wakufunzi wa Vicoba  .

August 8, 2022
SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

SERIKALI ZANZIBAR YAWEKA MKAZO KULIFANYIA MAZURI JESHI LA POLISI ZANZIBAR

August 5, 2022
Benki ya NBC yadhamini Milioni 10  Mashindano ya Golf

Benki ya NBC yadhamini Milioni 10 Mashindano ya Golf

August 10, 2022
Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

Rais Samia Awasili Mbeya Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi Jengo Jipya la Mama Na Mtoto

August 5, 2022
Naibu Spika Zungu Achukua Kits Tayari kwa Kushiriki CRDB Marathon Msimu wa 3

Naibu Spika Zungu Achukua Kits Tayari kwa Kushiriki CRDB Marathon Msimu wa 3

August 11, 2022
SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

SIMBA SC YAENDELEZA MAANDALIZI MCHUANO WA NGAO YA JAMII

August 11, 2022
Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

Magwiji wa Soka Waonesha Soka la Pila Biriani uwanja wa Shule ya St.Costantine, Arusha

August 11, 2022
UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

UGENI KUTOKA NIGERIA WAWASILI NCHINI KUJIFUNZA MASUALA YA SERIKALI ZA MITAA TANZANIA

August 11, 2022
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In