Ikiwa zimesalia siku 11 kufikia kufanyika kwa CRDB Marathon, Benki ya CRDB imetoa mchanganuo wa utoaji wa fedha taslimu ikwa ni zawadi ya pongezi kwa washiriki waliojisajiri kuhuhusika na Ushindani katika riadha zenye umbali kuanzia 10KM, 21KM na 42.2KM zitakazofanyika jijini Dar es Salaam. Agosti 14 Mwezi huu.
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
Kupitia maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa STAMICO, Makamu wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa...
Read more