Benki ya CRDB katika kuonesha dhamira ya upekee katika ubunifu ndani ya soko lake imeamua kuongeza mbio za baiskeli zenye umbali wa kilometa 65 ndani ya CRDB Marathon msimu wa 3 itakayofanyika Agosti 14, 2022. Zaidi ya hapo wameambatanisha na zawadi ya fedha taslimu washindi 1-6 watakazojinyakulia zikitolewa hapo baadae ndani ya jengo la Johari Rotana, Posta.
Dkt. Mpango Aitaka NEMC na STAMICO Kufanya Tathimini Migodini
Kupitia maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Madini la Taifa STAMICO, Makamu wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa...
Read more