Benki ya CRDB katika kuonesha dhamira ya upekee katika ubunifu ndani ya soko lake imeamua kuongeza mbio za baiskeli zenye umbali wa kilometa 65 ndani ya CRDB Marathon msimu wa 3 itakayofanyika Agosti 14, 2022. Zaidi ya hapo wameambatanisha na zawadi ya fedha taslimu washindi 1-6 watakazojinyakulia zikitolewa hapo baadae ndani ya jengo la Johari Rotana, Posta.
Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki Ya Sheria Dodoma
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma. Pichani, Meneja wa Kanda...
Read more