Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amekabidhi mfano wa hundi yenye Thamani ya Tsh. 25M kwa Mkurugenzi mkuu wa Klabu ya Simba SC Barbara Gonzalez ili kulipa nguvu Tamasha la Simba Day lililoandaliwa na klabu hio ambalo litafanyika Agosti 8,2022.
Mtu huyu atakusaidia kupata utajiri kupitia ubashiri soka
Jina langu ni Hussein kutoka Tanga, Tanzania, baada ya kubashiri kwa miaka mingi katika soka na kila wakati kupata ushindi...
Read more