Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amekabidhi mfano wa hundi yenye Thamani ya Tsh. 25M kwa Mkurugenzi mkuu wa Klabu ya Simba SC Barbara Gonzalez ili kulipa nguvu Tamasha la Simba Day lililoandaliwa na klabu hio ambalo litafanyika Agosti 8,2022.
MERIDIAN BET YAGUSA MAMA NTILIE
WAUZAJI wa vyakula maeneo ya Manzese na Kariakoo jijini Dar es Salaam leo wamepewatiwa msaada wa Aprons , ili ziweze kuwwasaidia...
Read more