Waziri mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa amezindua rasmi mashindano yanayohusisha michezo mashuleni kwa shule za msingi na Sekondari mkoani Tabora yafahamikayo kama UMITASHUMTA na UMISSETA. Akaongezea kwa kusema ” ujio wa wachezaji wageni kutoka nchi zingine kama malawi na kushiriki katika Ligi kuu chini Tanzania kunaonesha kukua kwa soka letu nchini”.
MERIDIAN BET YAGUSA MAMA NTILIE
WAUZAJI wa vyakula maeneo ya Manzese na Kariakoo jijini Dar es Salaam leo wamepewatiwa msaada wa Aprons , ili ziweze kuwwasaidia...
Read more