Klabu ya Simba SC inatarajia kucheza mechi ya kirafiki na timu iliochukua ubingwa wa Ligi kuu nchini Ethiopia St. George SC katika Tamasha la Simba Day litalofanyika Jumatatu ya Agosti 8, 2022 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar es Salaam.
HAJI MANARA AIJIA JUU BODI YA LIGI KISA CLEAN SHEETS, SIMBA SC
Haji Manara aitolea uvivu Bodi ya Ligi kuu ya NBC Tanzania bara (TPLB) kuhusu takwimu za Golikipa wa Simba SC,...
Read more