Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa jana alitembelea tawi la Benki ya NBC la Bunge jijini Dodoma na kupata huduma. Hii ni kuonesha anaunga mkono huduma zitolewazo na tasisi mbalimbali za kifedhaa nchini.


Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma. Pichani, Meneja wa Kanda...
Read more