ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO
Friday, January 27, 2023
  • Login
BONGOSWAGGZ
ADVERTISEMENT
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
    • All
    • Business
    • Politics
    • Science
    • World
    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    DC HALIMA: WAZAZI CHANGIENI CHAKULA MASHULENI

    SERIKALI YAJA  NA MBINU MBADALA  KUPAMBANA NA UKATILI

    SERIKALI YAJA NA MBINU MBADALA KUPAMBANA NA UKATILI

    NGOs ZAKUMBUSHWA KUFUATA MISINGI YA KATIBA, SHERIA NA KANUNI

    SERIKALI YAFUTA MASHIRIKA 4898 YASIYO YA KISERIKALI

    Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

    Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Alhamisi January 26,2023

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Papa Francis:’Mapenzi ya Jinsia Moja Sio Uhalifu-Sisi sote ni Watoto wa Mungu’

    Trending Tags

    • Trump Inauguration
    • United Stated
    • White House
    • Market Stories
    • Election Results
  • BIASHARA

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    Intel Core i7-7700K ‘Kaby Lake’ review

  • Lifestyle
    • All
    • Food
    • Health
    • Travel

    Shooting More than 40 Years of New York’s Halloween Parade

    Why Millennials Need to Save Twice as Much as Boomers Did

    Doctors take inspiration from online dating to build organ transplant AI

    How couples can solve lighting disagreements for good

    Ducati launch: Lorenzo and Dovizioso’s Desmosedici

    23 Celebrity Tweets You Missed From The Golden Globes

    Trending Tags

    • Golden Globes
    • Game of Thrones
    • MotoGP 2017
    • eSports
    • Fashion Week
  • BURUDANI
    • All
    • Apps
    • Gadget
    • Mobile
    • Startup

    The Legend of Zelda: Breath of the Wild gameplay on the Nintendo Switch

    Shadow Tactics: Blades of the Shogun Review

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    The Last Guardian Playstation 4 Game review

    These Are the 5 Big Tech Stories to Watch in 2017

    Trending Tags

    • Nintendo Switch
    • CES 2017
    • Playstation 4 Pro
    • Mark Zuckerberg
  • MICHEZO
    • All
    • Gaming
    • Movie

    macOS Sierra review: Mac users get a modest update this year

    Hands on: Samsung Galaxy A5 2017 review

    Heroes of the Storm Global Championship 2017 starts tomorrow, here’s what you need to know

    Harnessing the power of VR with Power Rangers and Snapdragon 835

    Dota 2 and CS:GO top Steam’s 2016 list for most played games

    President Obama Holds his Final Press Conference

No Result
View All Result
Bongoswaggz
No Result
View All Result
ADVERTISEMENT

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 22.08.202

Barani Ulaya

ALFRED MTEWELE by ALFRED MTEWELE
August 22, 2022
in SPORTS
Reading Time: 4 mins read
A A
0
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 22.08.202
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT

Winga wa Ajax Mbrazil Antony, 22, anashinikiza kujiunga na Manchester United kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili msimu huu. (Goal)

Hata hivyo, United wanasalia katika kumwinda winga wa PSV Eindhoven Mholanzi Cody Gakpo, 23 lakini wana uwezekano wa kusajili mmoja wa washambuliaji kabla ya dirisha la usajili kufungwa.  (Telegraph)

United pia wanajiandaa kushinikiza kwa mara ya mwisho mwezi huu kumsajili kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25. (Marcel van der Kraan, via Express)

Harry Maguire

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Harry Maguire

Klabu hiyo ya Old Trafford itazuia uhamisho wowote wa mlinzi wa Uingereza Harry Maguire baada ya Chelsea kumuulizia mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29. (Sun)

AC Milan wametumia mbinu nyingine kumnunua beki wa kati wa Tottenham Muingereza Japhet Tanganga, 23. (Calciomercato – in Italian)

Newcastle wanatumai kupata uhamisho wiki hii huku klabu hiyo ikifanyia kazi mikataba miwili na kuamini uhamisho wa mshambuliaji  wa Watford raia wa Brazil. Joao Pedro, 20, inawezekana. (iNews)

Kiungo wa kati wa Manchester City na Uingereza Keira Walsh, 25, bado anawindwa na Barcelona. (Sport – in Spanish)

Nicolas Pepe
Maelezo ya picha,Nicolas Pepe

Nice wanaendelea na mazungumzo na Arsenal kuhusu mkataba wa mkopo wa winga wa Ivory Coast Nicolas Pepe, 27. (Fabrizio Romano)

Leeds na Newcastle wanamfuatilia kiungo wa kati wa Los Angeles FC kutoka Ecuador Jose Cifuentes, 23, ambaye pia anawindwa na Brighton. (Sun)

Lazio wanatafuta kumnunua beki wa kushoto wa Tottenham Sergio Reguilon, 25. (Calciomercato – in Italian)

Nottingham Forest wana nia ya kumsajili Serge Aurier, 29. Beki huyo wa kulia wa Ivory Coast ni mchezaji huru baada ya kutolewa na Villarreal. (Footmercato, via Express)

Jan Bednarek

CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES

Maelezo ya picha,Jan Bednarek

Aston Villa wamewasilisha ofa ya mkopo kwa beki wa kati wa Poland Jan Bednarek, 26, kutoka Southampton. (Football Insider)

Wolves wamekataa dau la pauni milioni 1 kwa beki wa kati wa Ivory Coast Willy Boly, 31, kutoka Nottingham Forest. (The Athletic – subscription required)

Tottenham inaweza kumsajili Ruslan Malinovskyi wa Atalanta, 29, huku kiungo huyo wa kati wa Ukraine akiwa hana uhakika kuhusu kuhamia Marseille. (Footmercato – in French)

Nottingham Forest inamtaka beki wa kulia wa Uholanzi Hans Hateboer, 28, kutoka Atalanta. (Tutto Atalanta – in Italian)

Tottenham, Roma na Inter Milan wanavutiwa na beki wa kati wa Chelsea wa Uingereza Trevoh Chalobah, 23. (Evening Standard)

Tags: BARANI ULAYA
ADVERTISEMENT
Previous Post

Matokeo Mechi Zilizochezwa Ligi kuu ya NBC 21.08.2022

Next Post

CRDB yaungana na Wizara yenye Dhamana ya Tamaduni, Sanaa na Michezo Kuhamasisha Sensa 2022

ALFRED MTEWELE

ALFRED MTEWELE

RelatedPosts

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

Simba SC Yamtangaza CEO Mpya

by ALFRED MTEWELE
January 26, 2023
0

Uongozi wa Klabu ya Simba leo majira ya mchana Januari 26,2023 umemtangaza rasmi Imani Kajula kuwa mwajiliwa katika klabu hio...

Read more
EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

EVERTON YAWEKWA SOKONI KWA PAUNI MIL.500

January 25, 2023
OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

OPAH CLEMENT AZIDI KUNG’ARA LIGI KUU YA WANAWAKE, BARA

January 24, 2023
Al Hilal ya Sudan  yatarajiwa kuja nchini kesho

Al Hilal ya Sudan yatarajiwa kuja nchini kesho

January 24, 2023
KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

KOCHA MKUU SIMBA SC ATIMKIA KWAO BRAZIL

January 24, 2023
ZINAZOKIKI: BASI LA SIMBA SC LIMEUZWA

ZINAZOKIKI: BASI LA SIMBA SC LIMEUZWA

January 20, 2023
Load More
Next Post
CRDB yaungana na Wizara yenye Dhamana ya Tamaduni, Sanaa na Michezo Kuhamasisha Sensa 2022

CRDB yaungana na Wizara yenye Dhamana ya Tamaduni, Sanaa na Michezo Kuhamasisha Sensa 2022

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (FOUNDER & CEO)

Stay Connected test

ADVERTISEMENT
  • Trending
  • Comments
  • Latest
Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

Pikipiki 916 kugawiwa kwa Watendaji wa Kata

January 24, 2023
Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

Ahmed Ally “Tulishtuka Kuona Kocha Robertinho Anamtoa Chama!”

January 20, 2023
CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

CHUKUA HII: TEUZI KABAMBE YA WAKUU WA WILAYA WAPYA 2023

January 25, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Jumatano January 25,2023

January 25, 2023
Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

Benki ya NBC Yahitimisha Kampeni ya ‘Vuna Zaidi na NBC Shambani’

January 27, 2023
Yaliojili Kwenye Kurasa za Magazeti leo Ijumaa 25.11.2022

Yaliojili kwenye kurasa za Magazeti ya leo Ijumaa January 27,2023

January 27, 2023
TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

TIGO YAKABIDHI GARI KWA MSHINDI WA DROO KUBWA YA WAKISHUA

January 27, 2023
META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

META KUZIACHIA HURU AKANTI ZA TRUMP

January 26, 2023
ADVERTISEMENT
Facebook Twitter Google+ Youtube RSS

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

No Result
View All Result
  • Home
  • HABARI
  • BIASHARA
  • Lifestyle
  • BURUDANI
  • MICHEZO

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In